Tutegemee nini toka kwa Kocha Muargentina?

Tutegemee nini toka kwa Kocha Muargentina?

wanayanga kitu muhimu cha kutegemea kutoka kwa kocha mpya mu-algentina ni ubora wa soka usishuke ila uzidi kupanda kiasi cha kuzionea timu nje ndani na za kimataifa.

Ninachowataka Wanayanga wenzangu na uongozi ni kukubali ya kuwa kila kocha anakuja na mfumo wake wa ufundishaji ambao kwa kiasi kikubwa inategemea wachezaji alowakuta itawachukua kiasi gani kuuelewa haraka.

Kocha Nabi alibahatika sana kupata wachezaji ambao iliwachukua muda mfupi sana kuuelewa mfumo wake na matunda yake Yanga kuingia Fainali ya makombe ya CAF.

Mungu ibariki Yanga! Mungu wabariki viongozi na wanachama wa yanga wapate hekima ya kujua kushinda na kushindwa ni moja ya hatua ya kujenga mbinu bora za kukuza ubora wa soka.
MAKOMBE TU HAKUNA KINGINE HAPO.
 
Binafsi siyo mtaalam wa mambo ya soka, nnachoweza kusema kuwa si mtu wakukaa sana kutokana na CV yake niliyoisikia akitambulisha. Ni mtu wa ma adventure na anatumia ujuzi wake mdogo alionao "kula bata" kwa wajinga.

Kwanza huyo atachukiwa sana na wachezaji wengi kwa muda mfupi sana ujao, kwani ni mbaguzi wa rangi (wa Argentina ni wabaguzi sana wa rangi). Pia hajanikalia sawa kimuonekano wake, nimehisi ana features za upinde.


Mtanisameh sana washabiki wa soka, ni maoni yangu ya awali tu. Naweza kuwa nipo au sipo sahihi.
Na tunayaheshimu mawazo yako....
 
Yule ndugu yetu katika imaani Nabi tulimvumilia na kumpa timu muda mrefu ndio ukaona mafanikio.

Kama Waarabu si Wabaguzi basi ujuwe hata huo ubaguzi wenyewe haupo.

Nioneshe mswahili mmoja tu wa kariakoo aliyeowa Mwarabu ili uthibitishe Waarabu si wabaguzi.
Huko mbali mi nimeoa mwarabu original na sio hao koko
 
Binafsi siyo mtaalam wa mambo ya soka, nnachoweza kusema kuwa si mtu wakukaa sana kutokana na CV yake niliyoisikia akitambulisha. Ni mtu wa ma adventure na anatumia ujuzi wake mdogo alionao "kula bata" kwa wajinga.

Kwanza huyo atachukiwa sana na wachezaji wengi kwa muda mfupi sana ujao, kwani ni mbaguzi wa rangi (wa Argentina ni wabaguzi sana wa rangi). Pia hajanikalia sawa kimuonekano wake, nimehisi ana features za upinde.


Mtanisameh sana washabiki wa soka, ni maoni yangu ya awali tu. Naweza kuwa nipo au sipo sahihi.
Ndio Maana unajiita FAIZA
 
Binafsi siyo mtaalam wa mambo ya soka, nnachoweza kusema kuwa si mtu wakukaa sana kutokana na CV yake niliyoisikia akitambulisha. Ni mtu wa ma adventure na anatumia ujuzi wake mdogo alionao "kula bata" kwa wajinga.

Kwanza huyo atachukiwa sana na wachezaji wengi kwa muda mfupi sana ujao, kwani ni mbaguzi wa rangi (wa Argentina ni wabaguzi sana wa rangi). Pia hajanikalia sawa kimuonekano wake, nimehisi ana features za upinde.


Mtanisameh sana washabiki wa soka, ni maoni yangu ya awali tu. Naweza kuwa nipo au sipo sahihi.
Ahahhahah bib kizee bhan
 
Binafsi siyo mtaalam wa mambo ya soka, nnachoweza kusema kuwa si mtu wakukaa sana kutokana na CV yake niliyoisikia akitambulisha. Ni mtu wa ma adventure na anatumia ujuzi wake mdogo alionao "kula bata" kwa wajinga.

Kwanza huyo atachukiwa sana na wachezaji wengi kwa muda mfupi sana ujao, kwani ni mbaguzi wa rangi (wa Argentina ni wabaguzi sana wa rangi). Pia hajanikalia sawa kimuonekano wake, nimehisi ana features za upinde.


Mtanisameh sana washabiki wa soka, ni maoni yangu ya awali tu. Naweza kuwa nipo au sipo sahihi.
Ila pia nakukubali sna mnk huwa huyumbishwi kirahisi
 
Binafsi siyo mtaalam wa mambo ya soka, nnachoweza kusema kuwa si mtu wakukaa sana kutokana na CV yake niliyoisikia akitambulisha. Ni mtu wa ma adventure na anatumia ujuzi wake mdogo alionao "kula bata" kwa wajinga.

Kwanza huyo atachukiwa sana na wachezaji wengi kwa muda mfupi sana ujao, kwani ni mbaguzi wa rangi (wa Argentina ni wabaguzi sana wa rangi). Pia hajanikalia sawa kimuonekano wake, nimehisi ana features za upinde.


Mtanisameh sana washabiki wa soka, ni maoni yangu ya awali tu. Naweza kuwa nipo au sipo sahihi.
Wachezaji wote ni weusi atambagua nani? au anakuja na wazungu wenzake?
 
Binafsi siyo mtaalam wa mambo ya soka, nnachoweza kusema kuwa si mtu wakukaa sana kutokana na CV yake niliyoisikia akitambulisha. Ni mtu wa ma adventure na anatumia ujuzi wake mdogo alionao "kula bata" kwa wajinga.

Kwanza huyo atachukiwa sana na wachezaji wengi kwa muda mfupi sana ujao, kwani ni mbaguzi wa rangi (wa Argentina ni wabaguzi sana wa rangi). Pia hajanikalia sawa kimuonekano wake, nimehisi ana features za upinde.


Mtanisameh sana washabiki wa soka, ni maoni yangu ya awali tu. Naweza kuwa nipo au sipo sahihi.
Wewe ni mwananchi?
 
Wachezaji wote ni weusi atambagua nani? au anakuja na wazungu wenzake?
Utakuja kuyakumbuka maneno yangu si muda mrefu kuanzia atapoanza kazi.


Jiulize kwanini hakai kwenye timu zote alizopitia? Timu alizofikisha miaka miwili ni mbili tu, zingine zaidi ya kumi hajamaliza mwaka. Kwanini?


Hivi utaijenga timu gani?

Huyo ni upinde tu, anatafuta vijana wapya wa kumshughulikia, akikosa hakai.
 
Utakuja kuyakumbuka maneno yangu si muda mrefu kuanzia atapoanza kazi.


Jiulize kwanini hakai kwenye timu zote alizopitia? Timu alizofikisha miaka miwili ni mbili tu, zingine zaidi ya kumi hajamaliza mwaka. Kwanini?


Hivi utaijenga timu gani?

Huyo ni upinde tu, anatafuta vijana wapya wa kumshughulikia, akikosa hakai.
Kwahio Nabi nae ni upinde maana huko nyuma hakua na history ya kukaa kwenye timu mwaka mzima, nmekuuliza atambagua nani amuache nani au unaongelea ubaguzi wa dini?
 
Binafsi siyo mtaalam wa mambo ya soka, nnachoweza kusema kuwa si mtu wakukaa sana kutokana na CV yake niliyoisikia akitambulisha. Ni mtu wa ma adventure na anatumia ujuzi wake mdogo alionao "kula bata" kwa wajinga.

Kwanza huyo atachukiwa sana na wachezaji wengi kwa muda mfupi sana ujao, kwani ni mbaguzi wa rangi (wa Argentina ni wabaguzi sana wa rangi). Pia hajanikalia sawa kimuonekano wake, nimehisi ana features za upinde.


Mtanisameh sana washabiki wa soka, ni maoni yangu ya awali tu. Naweza kuwa nipo au sipo sahihi.
Waarabu ndio wanaongoza kwa ubaguzi duniani na mambo ya kula Tigo ukitaka nikuwekee video zao hapa
 
Yule msemaji qa Yanga aliiyekuwa anaongea jana kumtambulisha kocha mpya hata kutamka majina haelewi..

Hivi mtu kama yule anakuwaje msemaji wa klabu?

Manara yupo juu sana asingefanya ujinga uke.


Ngija nimpe darsa yule kijana na mapoyoyo wengine wa JF:

Jina lake huyo kocha halitamkwi kama kinavyosomeka Kiswahili. Ikiwa utatamka kama tunavyotamka Kiswahili utatamka "migel enjol gamondi".
 
Back
Top Bottom