Tutegemee nini toka kwa Kocha Muargentina?

Tutegemee nini toka kwa Kocha Muargentina?

Waarabu ndio wanaongoza kwa ubaguzi duniani na mambo ya kula Tigo ukitaka nikuwekee video zao hapa
Huwa sikisii.

Mimi nakuonesha hii moja ya Argentina, wewe onesha ya nchi ya Kiarabu, hivi kocha huyu ana mke?

Mahakama nchini Argentina imewatia hatiani makasisi wawili wa Kanisa Katoliki na aliyekuwa mtunza bustani wa shule ya wanafunzi viziwi inayosimamiwa na kanisa kwa makosa 28 ya unyanyasaji wa kingono na rushwa kwa watoto wadogo.

Soma zaidi na chanzo👇🏾

 
Yule ndugu yetu katika imaani Nabi tulimvumilia na kumpa timu muda mrefu ndio ukaona mafanikio.

Kama Waarabu si Wabaguzi basi ujuwe hata huo ubaguzi wenyewe haupo.

Nioneshe mswahili mmoja tu wa kariakoo aliyeowa Mwarabu ili uthibitishe Waarabu si wabaguzi.
umenichekesha sana! zanzibar hutumia a neno: mswahili kuoa au kuolewa na mwarabu!
 
Yule ndugu yetu katika imaani Nabi tulimvumilia na kumpa timu muda mrefu ndio ukaona mafanikio.

Kama Waarabu si Wabaguzi basi ujuwe hata huo ubaguzi wenyewe haupo.

Nioneshe mswahili mmoja tu wa kariakoo aliyeowa Mwarabu ili uthibitishe Waarabu si wabaguzi.

mkuu itoshe kusema kuwa una matatizo ya akili.
 
wanayanga kitu muhimu cha kutegemea kutoka kwa kocha mpya mu-algentina ni ubora wa soka usishuke ila uzidi kupanda kiasi cha kuzionea timu nje ndani na za kimataifa.

Ninachowataka Wanayanga wenzangu na uongozi ni kukubali ya kuwa kila kocha anakuja na mfumo wake wa ufundishaji ambao kwa kiasi kikubwa inategemea wachezaji alowakuta itawachukua kiasi gani kuuelewa haraka.

Kocha Nabi alibahatika sana kupata wachezaji ambao iliwachukua muda mfupi sana kuuelewa mfumo wake na matunda yake Yanga kuingia Fainali ya makombe ya CAF.

Mungu ibariki Yanga! Mungu wabariki viongozi na wanachama wa yanga wapate hekima ya kujua kushinda na kushindwa ni moja ya hatua ya kujenga mbinu bora za kukuza ubora wa soka.
Usajili wa kocha au mchezaji ambaye sijawahi kumuona,huwaga kwanza na kaa kimya, atleast baada ya mechi tano ndio nitaanza kutoa comment.
 
Binafsi siyo mtaalam wa mambo ya soka, nnachoweza kusema kuwa si mtu wakukaa sana kutokana na CV yake niliyoisikia akitambulisha. Ni mtu wa ma adventure na anatumia ujuzi wake mdogo alionao "kula bata" kwa wajinga.

Kwanza huyo atachukiwa sana na wachezaji wengi kwa muda mfupi sana ujao, kwani ni mbaguzi wa rangi (wa Argentina ni wabaguzi sana wa rangi). Pia hajanikalia sawa kimuonekano wake, nimehisi ana features za upinde.


Mtanisameh sana washabiki wa soka, ni maoni yangu ya awali tu. Naweza kuwa nipo au sipo sahihi.
@mods kuna mtu amekwiba account ya @faizerfox
 
@mods kuna mtu amekwiba account ya @faizerfox
Thubutuuu, ni mimi mwenyewe hapo nimechangia maoni yangu.

Huwa sikisii.

In Shaa Allah Tukijaaliwa utakuja kuyambuka maneno yangu baada ya muda si mrefu.
 
Nawauliza Yanga, huyu kocha mpya amewahi kuowa? Maana ana muonekano wa upinde.
 
Football sio fani yako uliwahi kumuona mke wa Nabi, Robertinho, Jamuhuli Kiwelu, Mwinyi Zahera?
Nimemuona mtoto wa Nabi akifanyiwa interview.

Sijaongelea kumuona mke wa mtu, nimeuliza kaoa? Cv yake si itaondsha ana mke au hana.

Hao wengine siwafahamu.
 
Nimemuona mtoto wa Nabi akifanyiwa interview.

Sijaongelea kumuona mke wa mtu, nimeuliza kaoa? Cv yake si itaondsha ana mke au hana.

Hao wengine siwafahamu.
Ukiona mtoto unajua mtu kaoa? watu wa upinde hawana watoto? Kwanini unampa mtu kashifa nzito ambayo huna uhakika nayo? Unanifahamu mke wa Mgunda?
 
Yule msemaji qa Yanga aliiyekuwa anaongea jana kumtambulisha kocha mpya hata kutamka majina haelewi..

Hivi mtu kama yule anakuwaje msemaji wa klabu?

Manara yupo juu sana asingefanya ujinga uke.


Ngija nimpe darsa yule kijana na mapoyoyo wengine wa JF:

Jina lake huyo kocha halitamkwi kama kinavyosomeka Kiswahili. Ikiwa utatamka kama tunavyotamka Kiswahili utatamka "migel enjol gamondi".
Kiswahili chenyewe hujui pumbavu kabisa.

" ngija" ndio nini?
 
Nimemuona mtoto wa Nabi akifanyiwa interview.

Sijaongelea kumuona mke wa mtu, nimeuliza kaoa? Cv yake si itaondsha ana mke au hana.

Hao wengine siwafahamu.
Hakuna genius yeyote duniani mwenye time na habari za ndoa.

Ndoa ni kwa ajili ya watu wenye ordinary mind, huwezi kufanya makubwa halafu ndani unafuga mambo wa makelele, huo utulivu utapata SAA ngapi?
 
Back
Top Bottom