ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 9,091
- 21,087
Waandaaji wa matamasha ya burudani na michezo mnaboa
Hasa katika kutoa tuzo
Mnaalika wanasiasa wasiokuwa na uelewa na masuala ya burudani ndo watoe tuzo
Hawawezi hata kutaja majina ya wasanii mfano
Chino wana man, s2kizzy, hip hop, rnb n.k
Wanaenda kwenye majukwaa kujipatia aibu ya hiari
Hivi kama ni tuzo za mziki unashindwa kumwarika kama profesa jay, lad jay dee, dj choka,JB n.k
Ndo muwaarike karibu wa wizara ya maji, sijui waziri wa katiba na sheria n.k wa Nini Sasa
Utashangaa tuzo ya top scorers anatoa waziri wa afya
Tuzo ya MVP anatoa mazuri wa mali asili
Hivi hapa nchini Kuna ma legend wangapi wa football akina chuji, Ngasa, Mgosi, Manara, Machupa, n.k
Kwanini msiwaalike hao
Tunaonaga matuzo huko ya michezo wanatoa akina na Ronaldo de Lima, Ronaldinho, Bekham, Zidane n.k
Kwenye Dunia huwezi kujua kila kitu, hao mawaziri, karibu wakuu, maofsa n.k wanaweza kuwa wanafanya vyema kwenye siasa na uongo lakini sio katika mambo ya burudani na michezo
Hasa katika kutoa tuzo
Mnaalika wanasiasa wasiokuwa na uelewa na masuala ya burudani ndo watoe tuzo
Hawawezi hata kutaja majina ya wasanii mfano
Chino wana man, s2kizzy, hip hop, rnb n.k
Wanaenda kwenye majukwaa kujipatia aibu ya hiari
Hivi kama ni tuzo za mziki unashindwa kumwarika kama profesa jay, lad jay dee, dj choka,JB n.k
Ndo muwaarike karibu wa wizara ya maji, sijui waziri wa katiba na sheria n.k wa Nini Sasa
Utashangaa tuzo ya top scorers anatoa waziri wa afya
Tuzo ya MVP anatoa mazuri wa mali asili
Hivi hapa nchini Kuna ma legend wangapi wa football akina chuji, Ngasa, Mgosi, Manara, Machupa, n.k
Kwanini msiwaalike hao
Tunaonaga matuzo huko ya michezo wanatoa akina na Ronaldo de Lima, Ronaldinho, Bekham, Zidane n.k
Kwenye Dunia huwezi kujua kila kitu, hao mawaziri, karibu wakuu, maofsa n.k wanaweza kuwa wanafanya vyema kwenye siasa na uongo lakini sio katika mambo ya burudani na michezo