Habari ndugu zangu,
Naishauri serikali iweke vipaumbele vya kutengeneza matajiri wazawa weusi wenye asili ya ndani ya nchi tokea enzi za mababu. Mfano kama kwa Nigeria alivo Aliko Dangete,au hapa kwetu the Late Reginald Mengi.
Hii Ina maana kubwa sana kwa nchi. Leo hii tajiri namba moja Tanzania kuwa Modewji, au Azam Bakhresa n.k, si afya sana hata kwa usalama wa nchi. Wakiamua kwa Nia thabiti kabisa kuuteteresha uchumi hawashindwi. Mfano kwa Azam akitingisha tu kibiriti Zanzibar hoooi, hoooi.
Kwa upande wa ajira, jamani kuajiriwa na wazawa ni raha na afadhali kuliko hawa wahindi. Yaani Kuna upendeleo wa ajabu huko ndani. Waarabu kiasi flani ahueni laki Bado Bado. Kwa wale ambao tushazunguka kufanya fanya ajira katika hizo pande ushahidi mnao.
Ukiwa kwa Mwafrika mwenzio kidogo Kuna kauhuruma kapo. Sina ushahidi lakini kwa nlivo sikia ni kwamba Reginald Mengi ni alitengenezwa na serikali awe tajiri. Alianza na biashara ya kalamu tu. Kama mnavojua serikali ikiamua hakuna kinacho shindikana Mzee wetu alitoboa.
Mungu amrehemu yule Mzee, kuna kipindi nlikuwa nko kitengo flani akija tu ukimpokea kabegi lake na kumpeleka VIP kukuacha na laki tano ni jambo la kawaida. Na muda wa kurudi atakuuliza, hivi nlikupa chochote? Hii ndio raha ya mwafrica tajiri kwa Mwafrica mwenzie.
Nashauri kwenye bonde kama la Bwawa na Nyerere like eneo linalofaa kilimo basi pawe na mpango kazi watanzania wenye Hela zao wawekwe huko na kuhakikishiwa sapoti zote Ili tutoe watajiri wengi wa ngozi nyeusi.
Ikumbukwe, baada ya serikali kataifisha miradi mingi kipindi hichoooo na yenyewe ikashindwa kuiendeleza ilionekana Bora wabinafsishe kwa watu. Matokeo yake babake Mohammed Dewji alichukua viwanda vingi vya nguo hapa nchini. Huko Tanga alichukua viwanda kedekede ya sabuni n.k, akageukia mashamba ya mikonge.
Baadhi ya viwanda vya nguo pale Tanga alichukua mitambo yake na kupeleka Morogoro huko Tanga akaacha Magofu. Akaenda Lushoto kuhodhi mashamba ya chai pamoja na huko Amani na Mashamba ya Mkonge. Huko Kanda ya ziwa Kuna kiwanda Cha nguo alitaka kung'oa sijui akipeleke wapi mwisho wa siku Serikali ya mkoa ikagoma akatulia.
Kwa UJUMLA HATA HAPA MO DEWJI ALIPO FIKA NIKWA SUPPORT YA SERIKALI eidha kwa serikali kujua ama kuto kujua. Kwa ujumla Mo Dewji hakuna alicho Anza from scratch. Mikopo mikubwa anachukua kwa kupitia Mali za serikali alizo zibinafaisha (majengo na Mashamba).
Wachina walitaka kukichukua kiwanda Cha AfriTex lakini akaleta mizengwe yake wachina wakaachana wa hilo jambo. MUTEX ya Musoma, kabomoabomoa mashine kule akazileta Tanga. Kule akabakiza gofu,spea akaleta Tanga kule kiwanda kikafa.
Sasa Forbes na wapimaji wengine wa utajiri wakipima hizo rasilimali alizo nazo ni utajiri mkubwa. Mo Dewji halimi korosho ila ni middleman. Azam ana kiwanja Cha sukari na amelima kilimo Cha miwa from scratch. Kama Magufuli alivo mwita Azam na kumpa eneo kubwa la kilimo free kabisa Ili atosheleze chai nchini, ndivo hivohivo serikali nyingine Duniani zinafanya kuwatengeneza matajiri wa ndani.
Nashauri kwa sasa tuweke nguvu zaidi kwa Black Colour (The Native).
Naishauri serikali iweke vipaumbele vya kutengeneza matajiri wazawa weusi wenye asili ya ndani ya nchi tokea enzi za mababu. Mfano kama kwa Nigeria alivo Aliko Dangete,au hapa kwetu the Late Reginald Mengi.
Hii Ina maana kubwa sana kwa nchi. Leo hii tajiri namba moja Tanzania kuwa Modewji, au Azam Bakhresa n.k, si afya sana hata kwa usalama wa nchi. Wakiamua kwa Nia thabiti kabisa kuuteteresha uchumi hawashindwi. Mfano kwa Azam akitingisha tu kibiriti Zanzibar hoooi, hoooi.
Kwa upande wa ajira, jamani kuajiriwa na wazawa ni raha na afadhali kuliko hawa wahindi. Yaani Kuna upendeleo wa ajabu huko ndani. Waarabu kiasi flani ahueni laki Bado Bado. Kwa wale ambao tushazunguka kufanya fanya ajira katika hizo pande ushahidi mnao.
Ukiwa kwa Mwafrika mwenzio kidogo Kuna kauhuruma kapo. Sina ushahidi lakini kwa nlivo sikia ni kwamba Reginald Mengi ni alitengenezwa na serikali awe tajiri. Alianza na biashara ya kalamu tu. Kama mnavojua serikali ikiamua hakuna kinacho shindikana Mzee wetu alitoboa.
Mungu amrehemu yule Mzee, kuna kipindi nlikuwa nko kitengo flani akija tu ukimpokea kabegi lake na kumpeleka VIP kukuacha na laki tano ni jambo la kawaida. Na muda wa kurudi atakuuliza, hivi nlikupa chochote? Hii ndio raha ya mwafrica tajiri kwa Mwafrica mwenzie.
Nashauri kwenye bonde kama la Bwawa na Nyerere like eneo linalofaa kilimo basi pawe na mpango kazi watanzania wenye Hela zao wawekwe huko na kuhakikishiwa sapoti zote Ili tutoe watajiri wengi wa ngozi nyeusi.
Ikumbukwe, baada ya serikali kataifisha miradi mingi kipindi hichoooo na yenyewe ikashindwa kuiendeleza ilionekana Bora wabinafsishe kwa watu. Matokeo yake babake Mohammed Dewji alichukua viwanda vingi vya nguo hapa nchini. Huko Tanga alichukua viwanda kedekede ya sabuni n.k, akageukia mashamba ya mikonge.
Baadhi ya viwanda vya nguo pale Tanga alichukua mitambo yake na kupeleka Morogoro huko Tanga akaacha Magofu. Akaenda Lushoto kuhodhi mashamba ya chai pamoja na huko Amani na Mashamba ya Mkonge. Huko Kanda ya ziwa Kuna kiwanda Cha nguo alitaka kung'oa sijui akipeleke wapi mwisho wa siku Serikali ya mkoa ikagoma akatulia.
Kwa UJUMLA HATA HAPA MO DEWJI ALIPO FIKA NIKWA SUPPORT YA SERIKALI eidha kwa serikali kujua ama kuto kujua. Kwa ujumla Mo Dewji hakuna alicho Anza from scratch. Mikopo mikubwa anachukua kwa kupitia Mali za serikali alizo zibinafaisha (majengo na Mashamba).
Wachina walitaka kukichukua kiwanda Cha AfriTex lakini akaleta mizengwe yake wachina wakaachana wa hilo jambo. MUTEX ya Musoma, kabomoabomoa mashine kule akazileta Tanga. Kule akabakiza gofu,spea akaleta Tanga kule kiwanda kikafa.
Sasa Forbes na wapimaji wengine wa utajiri wakipima hizo rasilimali alizo nazo ni utajiri mkubwa. Mo Dewji halimi korosho ila ni middleman. Azam ana kiwanja Cha sukari na amelima kilimo Cha miwa from scratch. Kama Magufuli alivo mwita Azam na kumpa eneo kubwa la kilimo free kabisa Ili atosheleze chai nchini, ndivo hivohivo serikali nyingine Duniani zinafanya kuwatengeneza matajiri wa ndani.
Nashauri kwa sasa tuweke nguvu zaidi kwa Black Colour (The Native).