mpiga vichwa
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 2,376
- 3,811
Bila kupoteza muda nijikite kwenye mada tajwa.
Mpaka sasa simba imeshatangaza kukamilisha usajili wa wachezaji 2 Moses Phiri (Zanaco) na Habibu kyombo (Mbeya kwanza)
Yanga mpaka sasa imekamilisha usajili wa wachezaji 3 Lazalius Kambole (Orando Pirets) , Benard Morisoni( simba sc) na Bigilimana (.......).
Katika hizo sajili ;
SIMBA
Phiri magoli 14 (musimu 1)
Kyombo magoli 6(nusu musimu)
Jumla magoli 20
YANGA
Kombole magoli 2(misimu 2)
Morisoni magoli 0(musimu 1)
Bigilimana magoli 1 (misimu -----)
Jumla 3
Je, katika hizo sajili nani kapigwa ?
K
Karibu katika mjadala. Povu haliruhusiwi tafadhali.
Mpaka sasa simba imeshatangaza kukamilisha usajili wa wachezaji 2 Moses Phiri (Zanaco) na Habibu kyombo (Mbeya kwanza)
Yanga mpaka sasa imekamilisha usajili wa wachezaji 3 Lazalius Kambole (Orando Pirets) , Benard Morisoni( simba sc) na Bigilimana (.......).
Katika hizo sajili ;
SIMBA
Phiri magoli 14 (musimu 1)
Kyombo magoli 6(nusu musimu)
Jumla magoli 20
YANGA
Kombole magoli 2(misimu 2)
Morisoni magoli 0(musimu 1)
Bigilimana magoli 1 (misimu -----)
Jumla 3
Je, katika hizo sajili nani kapigwa ?
K
Karibu katika mjadala. Povu haliruhusiwi tafadhali.