Tuunde ofisi ya kiongozi mkuu wa taifa (ayatollah wa taifa) ambaye atakuwa ndiye "brake" ya rais

Tuunde ofisi ya kiongozi mkuu wa taifa (ayatollah wa taifa) ambaye atakuwa ndiye "brake" ya rais

G4N

JF-Expert Member
Joined
Apr 6, 2014
Posts
4,283
Reaction score
9,925
Sifa zake:-
1. Awe ni rais mstaafu wa JMT mkongwe kuliko wote.
2. Awe amehudumu kiti cha urais kwa mihula 2 (miaka 10).

Majukumu yake.
1. Kuridhia maamuzi ya serikali juu ya uuzwaji ama ubinafsishai wa rasilimali za nchi.
2. Kumpa ushauri rais juu ya masuala yote yahusuyo nchi.
3. Kumuwajibisha rais (kumfuta kazi ) endapo atakiuka katiba ya nchi.

Baraza la ushauri la kiongozi mkuu litaundwa na watu wafuatao:-
1. Marais wastaafu (ambao ni junior kwa kiongozi mkuu)
2. CDF wastaafu {wote walio hai (w.h)}.
3. VP wastaafu (wote w.h).
4.. PM wastaafu (wote w.h).
5. Spika wastaafu (wote w.h).
7. Majaji wakuu wastaafu (wote w.h)
8. IGP wastaafu wote wote w.h
9. DCI wastaafu wote w.h.

Kwa kuwa mihimili ya bunge na mahakama imekanyagwa na executive, na kumfanya rais kuwa Mungu mtu, basi ofisi hii ndiyo iwe kizingiti cha maamuzi ya hovyo ya rais yeyote aliyeko madarakani.

Haiwezekani atokee rais mmoja mshamba huko, kachaguliwa kimihemko (mf. Jiwe) ama kapata kiti kwa bahati mbaya (mf. Mama) anaanza kuipeleka nchi pabaya halafu hakuna wa kumzuia.

Tuazimie sasa na tuanze na rais mataafu Kikwete awe ndiye ayatollah wetu wa kwanza.
 
Demokrasia ambayo kila mtu anajipigia kura bila kujua maana ya kura ni kupoteza mali na muda

Tunahitaji Kamati maalumu ya wenye hekima kuongoza nchi, siyo hivi vyama feki vya kisiasa na mauchaguzi feki yasiyoakisi mahitaji halisi ya nchi.
 
Demokrasia ambayo kila mtu anajipigia kura bila kujua maana ya kura ni kupoteza mali na muda

Tunahitaji Kamati maalumu ya wenye hekima kuongoza nchi, siyo hivi vyama feki vya kisiasa na mauchaguzi feki yasiyoakisi mahitaji halisi ya nchi.
Ndiyo mkuu. Nina hakika hawa wastaafu wataenenda kwa haki
 
Usipende kuwashilikisha wastaafu kwenye mambo ya msingi kama hayo, wenyewe wapo tu wanaangalia mwisho wao hapa duniani utakuwa vp, hawataki kusumbua akili yao.
 
Sifa zake:-
1. Awe ni rais mstaafu wa JMT mkongwe kuliko wote.
2. Awe amehudumu kiti cha urais kwa mihula 2 (miaka 10).

Majukumu yake.
1. Kuridhia maamuzi ya serikali juu ya uuzwaji ama ubinafsishai wa rasilimali za nchi.
2. Kumpa ushauri rais juu ya masuala yote yahusuyo nchi.
3. Kumuwajibisha rais (kumfuta kazi ) endapo atakiuka katiba ya nchi.

Baraza la ushauri la kiongozi mkuu litaundwa na watu wafuatao:-
1. Marais wastaafu (ambao ni junior kwa kiongozi mkuu)
2. CDF wastaafu {wote walio hai (w.h)}.
3. VP wastaafu (wote w.h).
4.. PM wastaafu (wote w.h).
5. Spika wastaafu (wote w.h).
7. Majaji wakuu wastaafu (wote w.h)
8. IGP wastaafu wote wote w.h
9. DCI wastaafu wote w.h.

Ofisi hii ndiyo iwe kizingiti cha maamuzi ya hovyo ya rais yeyote aliyeko madarakani.

Haiwezekani atokee rais mmoja mshamba huko, kachaguliwa kimihemko (mf. Jiwe) ama kapata kiti kwa bahati mbaya (mf. Mama) anaanza kuipeleka nchi pabaya halafu hakuna wa kumzuia.

Tuazimie sasa na tuanze na rais mataafu Kikwete awe ndiye ayatollah wetu wa kwanza.
Sisi yupo ambae ni waziri mkuu cha msingi ni katiba mpya inayoweza kumwongezea nguvu ili Rais afungwe break,
 
Sifa zake:-
1. Awe ni rais mstaafu wa JMT mkongwe kuliko wote.
2. Awe amehudumu kiti cha urais kwa mihula 2 (miaka 10).

Majukumu yake.
1. Kuridhia maamuzi ya serikali juu ya uuzwaji ama ubinafsishai wa rasilimali za nchi.
2. Kumpa ushauri rais juu ya masuala yote yahusuyo nchi.
3. Kumuwajibisha rais (kumfuta kazi ) endapo atakiuka katiba ya nchi.

Baraza la ushauri la kiongozi mkuu litaundwa na watu wafuatao:-
1. Marais wastaafu (ambao ni junior kwa kiongozi mkuu)
2. CDF wastaafu {wote walio hai (w.h)}.
3. VP wastaafu (wote w.h).
4.. PM wastaafu (wote w.h).
5. Spika wastaafu (wote w.h).
7. Majaji wakuu wastaafu (wote w.h)
8. IGP wastaafu wote wote w.h
9. DCI wastaafu wote w.h.

Ofisi hii ndiyo iwe kizingiti cha maamuzi ya hovyo ya rais yeyote aliyeko madarakani.

Haiwezekani atokee rais mmoja mshamba huko, kachaguliwa kimihemko (mf. Jiwe) ama kapata kiti kwa bahati mbaya (mf. Mama) anaanza kuipeleka nchi pabaya halafu hakuna wa kumzuia.

Tuazimie sasa na tuanze na rais mataafu Kikwete awe ndiye ayatollah wetu wa kwanza.
adriz Covax inamankusweke incharge ITR ielewemitaa Jagina Accumen Mo Mufti kuku The Infinity 100 others brazaj hydroxo sorry for your loss

20240520_124032.jpg
 
Sifa zake:-
1. Awe ni rais mstaafu wa JMT mkongwe kuliko wote.
2. Awe amehudumu kiti cha urais kwa mihula 2 (miaka 10).

Majukumu yake.
1. Kuridhia maamuzi ya serikali juu ya uuzwaji ama ubinafsishai wa rasilimali za nchi.
2. Kumpa ushauri rais juu ya masuala yote yahusuyo nchi.
3. Kumuwajibisha rais (kumfuta kazi ) endapo atakiuka katiba ya nchi.

Baraza la ushauri la kiongozi mkuu litaundwa na watu wafuatao:-
1. Marais wastaafu (ambao ni junior kwa kiongozi mkuu)
2. CDF wastaafu {wote walio hai (w.h)}.
3. VP wastaafu (wote w.h).
4.. PM wastaafu (wote w.h).
5. Spika wastaafu (wote w.h).
7. Majaji wakuu wastaafu (wote w.h)
8. IGP wastaafu wote wote w.h
9. DCI wastaafu wote w.h.

Ofisi hii ndiyo iwe kizingiti cha maamuzi ya hovyo ya rais yeyote aliyeko madarakani.

Haiwezekani atokee rais mmoja mshamba huko, kachaguliwa kimihemko (mf. Jiwe) ama kapata kiti kwa bahati mbaya (mf. Mama) anaanza kuipeleka nchi pabaya halafu hakuna wa kumzuia.

Tuazimie sasa na tuanze na rais mataafu Kikwete awe ndiye ayatollah wetu wa kwanza.
Mtu huyo ni Rasimu ya judge Warioba.
 
Huyo wa zamani kuliko wote ndio tatizo, suluhisho ni kuwa kitu hakiwezi kupita bila kupata 80% ya balaza hilo sio kuwa na kiongozi mkubwa zaidi bali wote wawe sawa na spika wao au ndo huyo mkuu wa nchi but he cannot decide
 
suluhisho ni kuwa kitu hakiwezi kupita bila kupata 80% ya balaza hilo sio kuwa na kiongozi mkubwa zaidi bali wote wawe sawa na spika wao au ndo huyo mkuu wa nchi but he cannot decide
Wazo lako zuri ili kuboresha utendaji kazi wa ofisi hii
 
Sifa zake:-
1. Awe ni rais mstaafu wa JMT mkongwe kuliko wote.
2. Awe amehudumu kiti cha urais kwa mihula 2 (miaka 10).

Majukumu yake.
1. Kuridhia maamuzi ya serikali juu ya uuzwaji ama ubinafsishai wa rasilimali za nchi.
2. Kumpa ushauri rais juu ya masuala yote yahusuyo nchi.
3. Kumuwajibisha rais (kumfuta kazi ) endapo atakiuka katiba ya nchi.

Baraza la ushauri la kiongozi mkuu litaundwa na watu wafuatao:-
1. Marais wastaafu (ambao ni junior kwa kiongozi mkuu)
2. CDF wastaafu {wote walio hai (w.h)}.
3. VP wastaafu (wote w.h).
4.. PM wastaafu (wote w.h).
5. Spika wastaafu (wote w.h).
7. Majaji wakuu wastaafu (wote w.h)
8. IGP wastaafu wote wote w.h
9. DCI wastaafu wote w.h.

Ofisi hii ndiyo iwe kizingiti cha maamuzi ya hovyo ya rais yeyote aliyeko madarakani.

Haiwezekani atokee rais mmoja mshamba huko, kachaguliwa kimihemko (mf. Jiwe) ama kapata kiti kwa bahati mbaya (mf. Mama) anaanza kuipeleka nchi pabaya halafu hakuna wa kumzuia.

Tuazimie sasa na tuanze na rais mataafu Kikwete awe ndiye ayatollah wetu wa kwanza.
Anatumia mabilion ya hela kununua na kutengeneza silaha kwa ajili ya kuipiga Israel halafu anakufa kwenye ndege ambayo ilitengenezwa mwaka 1978 tena na USA ambapo mpk sasa ndege hiyo ina umri wa miaka 46.
Iran kuna wajinga wengi sana, tangu lini wenye dini ya muarabu wakawa na akili
 
Nyerere angekuwa ndio yupo Hilo Baraza tungendelea kuwa kwenye ujamaa angepinga Kila kitu mleta mada akili huna Kila zama na kitabu chake
 
Nyerere angekuwa ndio yupo Hilo Baraza tungendelea kuwa kwenye ujamaa angepinga Kila kitu mleta mada akili huna Kila zama na kitabu chake
 
Sifa zake:-
1. Awe ni rais mstaafu wa JMT mkongwe kuliko wote.
2. Awe amehudumu kiti cha urais kwa mihula 2 (miaka 10).

Majukumu yake.
1. Kuridhia maamuzi ya serikali juu ya uuzwaji ama ubinafsishai wa rasilimali za nchi.
2. Kumpa ushauri rais juu ya masuala yote yahusuyo nchi.
3. Kumuwajibisha rais (kumfuta kazi ) endapo atakiuka katiba ya nchi.

Baraza la ushauri la kiongozi mkuu litaundwa na watu wafuatao:-
1. Marais wastaafu (ambao ni junior kwa kiongozi mkuu)
2. CDF wastaafu {wote walio hai (w.h)}.
3. VP wastaafu (wote w.h).
4.. PM wastaafu (wote w.h).
5. Spika wastaafu (wote w.h).
7. Majaji wakuu wastaafu (wote w.h)
8. IGP wastaafu wote wote w.h
9. DCI wastaafu wote w.h.

Ofisi hii ndiyo iwe kizingiti cha maamuzi ya hovyo ya rais yeyote aliyeko madarakani.

Haiwezekani atokee rais mmoja mshamba huko, kachaguliwa kimihemko (mf. Jiwe) ama kapata kiti kwa bahati mbaya (mf. Mama) anaanza kuipeleka nchi pabaya halafu hakuna wa kumzuia.

Tuazimie sasa na tuanze na rais mataafu Kikwete awe ndiye ayatollah we wetu wa kwanza.
Wazo zuri.
 
Sifa zake:-
1. Awe ni rais mstaafu wa JMT mkongwe kuliko wote.
2. Awe amehudumu kiti cha urais kwa mihula 2 (miaka 10).

Majukumu yake.
1. Kuridhia maamuzi ya serikali juu ya uuzwaji ama ubinafsishai wa rasilimali za nchi.
2. Kumpa ushauri rais juu ya masuala yote yahusuyo nchi.
3. Kumuwajibisha rais (kumfuta kazi ) endapo atakiuka katiba ya nchi.

Baraza la ushauri la kiongozi mkuu litaundwa na watu wafuatao:-
1. Marais wastaafu (ambao ni junior kwa kiongozi mkuu)
2. CDF wastaafu {wote walio hai (w.h)}.
3. VP wastaafu (wote w.h).
4.. PM wastaafu (wote w.h).
5. Spika wastaafu (wote w.h).
7. Majaji wakuu wastaafu (wote w.h)
8. IGP wastaafu wote wote w.h
9. DCI wastaafu wote w.h.

Ofisi hii ndiyo iwe kizingiti cha maamuzi ya hovyo ya rais yeyote aliyeko madarakani.

Haiwezekani atokee rais mmoja mshamba huko, kachaguliwa kimihemko (mf. Jiwe) ama kapata kiti kwa bahati mbaya (mf. Mama) anaanza kuipeleka nchi pabaya halafu hakuna wa kumzuia.

Tuazimie sasa na tuanze na rais mataafu Kikwete awe ndiye ayatollah wetu wa kwanza.
Wazo zuri tatizo ni Upuuzi wa kufata democracy uchwara.
 
Wazo zuri tatizo ni Upuuzi wa kufata democracy uchwara.
Demokrasia yenyewe wala haifuatwi. Chaguzi fake, wagombea wa kupangwa na kupandwa. Naona bora tuwe na wazee wa busara tu
 
Back
Top Bottom