Sifa zake:-
1. Awe ni rais mstaafu wa JMT mkongwe kuliko wote.
2. Awe amehudumu kiti cha urais kwa mihula 2 (miaka 10).
Majukumu yake.
1. Kuridhia maamuzi ya serikali juu ya uuzwaji ama ubinafsishai wa rasilimali za nchi.
2. Kumpa ushauri rais juu ya masuala yote yahusuyo nchi.
3. Kumuwajibisha rais (kumfuta kazi ) endapo atakiuka katiba ya nchi.
Baraza la ushauri la kiongozi mkuu litaundwa na watu wafuatao:-
1. Marais wastaafu (ambao ni junior kwa kiongozi mkuu)
2. CDF wastaafu {wote walio hai (w.h)}.
3. VP wastaafu (wote w.h).
4.. PM wastaafu (wote w.h).
5. Spika wastaafu (wote w.h).
7. Majaji wakuu wastaafu (wote w.h)
8. IGP wastaafu wote wote w.h
9. DCI wastaafu wote w.h.
Kwa kuwa mihimili ya bunge na mahakama imekanyagwa na executive, na kumfanya rais kuwa Mungu mtu, basi ofisi hii ndiyo iwe kizingiti cha maamuzi ya hovyo ya rais yeyote aliyeko madarakani.
Haiwezekani atokee rais mmoja mshamba huko, kachaguliwa kimihemko (mf. Jiwe) ama kapata kiti kwa bahati mbaya (mf. Mama) anaanza kuipeleka nchi pabaya halafu hakuna wa kumzuia.
Tuazimie sasa na tuanze na rais mataafu Kikwete awe ndiye ayatollah wetu wa kwanza.
1. Awe ni rais mstaafu wa JMT mkongwe kuliko wote.
2. Awe amehudumu kiti cha urais kwa mihula 2 (miaka 10).
Majukumu yake.
1. Kuridhia maamuzi ya serikali juu ya uuzwaji ama ubinafsishai wa rasilimali za nchi.
2. Kumpa ushauri rais juu ya masuala yote yahusuyo nchi.
3. Kumuwajibisha rais (kumfuta kazi ) endapo atakiuka katiba ya nchi.
Baraza la ushauri la kiongozi mkuu litaundwa na watu wafuatao:-
1. Marais wastaafu (ambao ni junior kwa kiongozi mkuu)
2. CDF wastaafu {wote walio hai (w.h)}.
3. VP wastaafu (wote w.h).
4.. PM wastaafu (wote w.h).
5. Spika wastaafu (wote w.h).
7. Majaji wakuu wastaafu (wote w.h)
8. IGP wastaafu wote wote w.h
9. DCI wastaafu wote w.h.
Kwa kuwa mihimili ya bunge na mahakama imekanyagwa na executive, na kumfanya rais kuwa Mungu mtu, basi ofisi hii ndiyo iwe kizingiti cha maamuzi ya hovyo ya rais yeyote aliyeko madarakani.
Haiwezekani atokee rais mmoja mshamba huko, kachaguliwa kimihemko (mf. Jiwe) ama kapata kiti kwa bahati mbaya (mf. Mama) anaanza kuipeleka nchi pabaya halafu hakuna wa kumzuia.
Tuazimie sasa na tuanze na rais mataafu Kikwete awe ndiye ayatollah wetu wa kwanza.