Tuunde ofisi ya kiongozi mkuu wa taifa (ayatollah wa taifa) ambaye atakuwa ndiye "brake" ya rais

Tuunde ofisi ya kiongozi mkuu wa taifa (ayatollah wa taifa) ambaye atakuwa ndiye "brake" ya rais

Nakubaliana na wewe
Ila hiyo composition yako haitakuwa haina kipya chochote kwani hao wastaafu wanatakiwa wakae pembeni.
Mimi kwa maoni yangu naomba Rais kwa sehemu kubwa awe ceremonial ila abaki na uamiri jeshi mkuu.
Ateuliwa waziri mkuu ambaye atapigiwa kura kutoka wabunge ndo awe mtendaji mkuu wa Serikali na atawajibika kwa wananchi na asiwekewe kinga yoyote ya kisiasa ili akizinguwa awajibishwe na kuondolewa madarakani wakati Rais yeye anakuwa kama mfalme au malikia atakuwa habugudhiwi hadi muhula wake utapoisha.
Sawa. Nayaheshimu mawazo yako. Kikubwa mfumo wa Sasa ubadilike
 
Tulikuwa na baba wa taifa. Kila jambo lisilompendeza alilipinga.
Kifupi alizitesa sana serikali za Mwinyi na Mkapa.
Tusije tukarudia tena kosa la kuwa na non elected official aliye juu ya raisi.
 
Sifa zake:-
1. Awe ni rais mstaafu wa JMT mkongwe kuliko wote.
2. Awe amehudumu kiti cha urais kwa mihula 2 (miaka 10).

Majukumu yake.
1. Kuridhia maamuzi ya serikali juu ya uuzwaji ama ubinafsishai wa rasilimali za nchi.
2. Kumpa ushauri rais juu ya masuala yote yahusuyo nchi.
3. Kumuwajibisha rais (kumfuta kazi ) endapo atakiuka katiba ya nchi.

Baraza la ushauri la kiongozi mkuu litaundwa na watu wafuatao:-
1. Marais wastaafu (ambao ni junior kwa kiongozi mkuu)
2. CDF wastaafu {wote walio hai (w.h)}.
3. VP wastaafu (wote w.h).
4.. PM wastaafu (wote w.h).
5. Spika wastaafu (wote w.h).
7. Majaji wakuu wastaafu (wote w.h)
8. IGP wastaafu wote wote w.h
9. DCI wastaafu wote w.h.

Ofisi hii ndiyo iwe kizingiti cha maamuzi ya hovyo ya rais yeyote aliyeko madarakani.

Haiwezekani atokee rais mmoja mshamba huko, kachaguliwa kimihemko (mf. Jiwe) ama kapata kiti kwa bahati mbaya (mf. Mama) anaanza kuipeleka nchi pabaya halafu hakuna wa kumzuia.

Tuazimie sasa na tuanze na rais mataafu Kikwete awe ndiye ayatollah wetu wa kwanza.
Sitaki.
 
Kweli wewe ni mpumbavu.

Hiyo sasa ndio kazi ya BUNGE.
 
Sifa zake:-
1. Awe ni rais mstaafu wa JMT mkongwe kuliko wote.
2. Awe amehudumu kiti cha urais kwa mihula 2 (miaka 10).

Majukumu yake.
1. Kuridhia maamuzi ya serikali juu ya uuzwaji ama ubinafsishai wa rasilimali za nchi.
2. Kumpa ushauri rais juu ya masuala yote yahusuyo nchi.
3. Kumuwajibisha rais (kumfuta kazi ) endapo atakiuka katiba ya nchi.

Baraza la ushauri la kiongozi mkuu litaundwa na watu wafuatao:-
1. Marais wastaafu (ambao ni junior kwa kiongozi mkuu)
2. CDF wastaafu {wote walio hai (w.h)}.
3. VP wastaafu (wote w.h).
4.. PM wastaafu (wote w.h).
5. Spika wastaafu (wote w.h).
7. Majaji wakuu wastaafu (wote w.h)
8. IGP wastaafu wote wote w.h
9. DCI wastaafu wote w.h.

Ofisi hii ndiyo iwe kizingiti cha maamuzi ya hovyo ya rais yeyote aliyeko madarakani.

Haiwezekani atokee rais mmoja mshamba huko, kachaguliwa kimihemko (mf. Jiwe) ama kapata kiti kwa bahati mbaya (mf. Mama) anaanza kuipeleka nchi pabaya halafu hakuna wa kumzuia.

Tuazimie sasa na tuanze na rais mataafu Kikwete awe ndiye ayatollah wetu wa kwanza.
Hivi wewe humo kichwani una ubongo au una kyuma?
 
Kweli wewe ni mpumbavu.

Hiyo sasa ndio kazi ya BUNGE.
Bunge la Tanzania linaweza kupinga alichoamua rais na baraza lake la mawaziri?

Bunge linaweza kumuondoa rais madarakani? Unajua mchakato wake ulivyokaa kikatiba ni sawa na danganya toto?
 
Naona CCM mnazidi kubuni ulaji tu watoto wenu wazidi kuishi kama peponi.

Kuna maisha baada ya haya, na mtaulizwa 😊
 
20240520_124032.jpg
 
Sifa zake:-
1. Awe ni rais mstaafu wa JMT mkongwe kuliko wote.
2. Awe amehudumu kiti cha urais kwa mihula 2 (miaka 10).

Majukumu yake.
1. Kuridhia maamuzi ya serikali juu ya uuzwaji ama ubinafsishai wa rasilimali za nchi.
2. Kumpa ushauri rais juu ya masuala yote yahusuyo nchi.
3. Kumuwajibisha rais (kumfuta kazi ) endapo atakiuka katiba ya nchi.

Baraza la ushauri la kiongozi mkuu litaundwa na watu wafuatao:-
1. Marais wastaafu (ambao ni junior kwa kiongozi mkuu)
2. CDF wastaafu {wote walio hai (w.h)}.
3. VP wastaafu (wote w.h).
4.. PM wastaafu (wote w.h).
5. Spika wastaafu (wote w.h).
7. Majaji wakuu wastaafu (wote w.h)
8. IGP wastaafu wote wote w.h
9. DCI wastaafu wote w.h.

Kwa kuwa mihimili ya bunge na mahakama imekanyagwa na executive, na kumfanya rais kuwa Mungu mtu, basi ofisi hii ndiyo iwe kizingiti cha maamuzi ya hovyo ya rais yeyote aliyeko madarakani.

Haiwezekani atokee rais mmoja mshamba huko, kachaguliwa kimihemko (mf. Jiwe) ama kapata kiti kwa bahati mbaya (mf. Mama) anaanza kuipeleka nchi pabaya halafu hakuna wa kumzuia.

Tuazimie sasa na tuanze na rais mataafu Kikwete awe ndiye ayatollah wetu wa kwanza.
Hizo sifa mkuu hazitoshi kabisa,na niweke wazi, Kikwete hana sifa kimaadili ya kuwa kiongozi mkuu wa nchi.Pamoja na nyingine nyingi,lakini maadili mazuri lazima iwe sifa ya kwanza.Ili kuweza kupata mtu wa namna hiyo,ni lazima ifanyike sample survey kwenye main religions:Ukristo na Uislam, ili kuona ipi dini ina maadili mazuri zaidi,than from that religion, atoke kiongozi huyo.

Idadi ya Washauri is debatable,lakini hao pia ni lazima wawe na moral values zinazokubalika,hiyo iwe sifa ya kwanza.

Ni kweli kwa sasa inaonekana kama Rais ana too much power na ni kama kuna vurugu ya aina fulani hivi,na hii sio afya Kwa Taifa.Ni wazi we need some moderation in the Presidents' powers.Samia anayofanya can even cost us politically.Hapana, Rais hawezi kufukuza hovyo hovyo namna hii.

Wazo lako ni zuri,ila we can coin another name,sio Ayatollah,naamini jina hilo ni affiliated to Islam na lina maana kwenye Uislam.Kiongozi huyo tunaweza tukamuita Rais,halafu mtendaji mkuu wa nchi akawa Waziri Mkuu,kama ilivyo in some countries around the World.
 
Demokrasia yenyewe wala haifuatwi. Chaguzi fake, wagombea wa kupangwa na kupandwa. Naona bora tuwe na wazee wa busara tu
Hivi mmeshindwa kuelewa kabisa kuwa democracy ni kitu hewa,na is a NWO tool for control.Jamani democracy ingekuwa real,Wamarekani ambao ndio waanzilishi wa concept hiyo wangekuwa na democracy,sasa mbona hakuna?Frankly kama mtu unaona Marekani kuna democracy,basi you are likely a loon.
 
Sifa zake:-
1. Awe ni rais mstaafu wa JMT mkongwe kuliko wote.
2. Awe amehudumu kiti cha urais kwa mihula 2 (miaka 10).

Majukumu yake.
1. Kuridhia maamuzi ya serikali juu ya uuzwaji ama ubinafsishai wa rasilimali za nchi.
2. Kumpa ushauri rais juu ya masuala yote yahusuyo nchi.
3. Kumuwajibisha rais (kumfuta kazi ) endapo atakiuka katiba ya nchi.

Baraza la ushauri la kiongozi mkuu litaundwa na watu wafuatao:-
1. Marais wastaafu (ambao ni junior kwa kiongozi mkuu)
2. CDF wastaafu {wote walio hai (w.h)}.
3. VP wastaafu (wote w.h).
4.. PM wastaafu (wote w.h).
5. Spika wastaafu (wote w.h).
7. Majaji wakuu wastaafu (wote w.h)
8. IGP wastaafu wote wote w.h
9. DCI wastaafu wote w.h.

Kwa kuwa mihimili ya bunge na mahakama imekanyagwa na executive, na kumfanya rais kuwa Mungu mtu, basi ofisi hii ndiyo iwe kizingiti cha maamuzi ya hovyo ya rais yeyote aliyeko madarakani.

Haiwezekani atokee rais mmoja mshamba huko, kachaguliwa kimihemko (mf. Jiwe) ama kapata kiti kwa bahati mbaya (mf. Mama) anaanza kuipeleka nchi pabaya halafu hakuna wa kumzuia.

Tuazimie sasa na tuanze na rais mataafu Kikwete awe ndiye ayatollah wetu wa kwanza.
Kinachotakiwa ni Karibu mpya nzuri. Huyo kiongozi anaweza pia kuwekwa mfukoni. Kwa katiba ya sasa Rais is too powerful to be subjugated to any one person or an institution
 
Hivi mmeshindwa kuelewa kabisa kuwa democracy ni kitu hewa,na is a NWO tool for control.Jamani democracy ingekuwa real,Wamarekani ambao ndio waanzilishi wa concept hiyo wangekuwa na democracy,sasa mbona hakuna?Frankly kama mtu unaona Marekani kuna democracy,basi you are likely a loon.
Marekani kuna democracy ambayo hutaiona popote Duniani, jipange uende siku moja then utatupa mrejesho.

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
 
Anatumia mabilion ya hela kununua na kutengeneza silaha kwa ajili ya kuipiga Israel halafu anakufa kwenye ndege ambayo ilitengenezwa mwaka 1978 tena na USA ambapo mpk sasa ndege hiyo ina umri wa miaka 46.
Iran kuna wajinga wengi sana, tangu lini wenye dini ya muarabu wakawa na akili
hahahahahahah
 
Sifa zake:-
1. Awe ni rais mstaafu wa JMT mkongwe kuliko wote.
2. Awe amehudumu kiti cha urais kwa mihula 2 (miaka 10).

Majukumu yake.
1. Kuridhia maamuzi ya serikali juu ya uuzwaji ama ubinafsishai wa rasilimali za nchi.
2. Kumpa ushauri rais juu ya masuala yote yahusuyo nchi.
3. Kumuwajibisha rais (kumfuta kazi ) endapo atakiuka katiba ya nchi.

Baraza la ushauri la kiongozi mkuu litaundwa na watu wafuatao:-
1. Marais wastaafu (ambao ni junior kwa kiongozi mkuu)
2. CDF wastaafu {wote walio hai (w.h)}.
3. VP wastaafu (wote w.h).
4.. PM wastaafu (wote w.h).
5. Spika wastaafu (wote w.h).
7. Majaji wakuu wastaafu (wote w.h)
8. IGP wastaafu wote wote w.h
9. DCI wastaafu wote w.h.

Kwa kuwa mihimili ya bunge na mahakama imekanyagwa na executive, na kumfanya rais kuwa Mungu mtu, basi ofisi hii ndiyo iwe kizingiti cha maamuzi ya hovyo ya rais yeyote aliyeko madarakani.

Haiwezekani atokee rais mmoja mshamba huko, kachaguliwa kimihemko (mf. Jiwe) ama kapata kiti kwa bahati mbaya (mf. Mama) anaanza kuipeleka nchi pabaya halafu hakuna wa kumzuia.

Tuazimie sasa na tuanze na rais mataafu Kikwete awe ndiye ayatollah wetu wa kwanza.
Ujinga
 
Marekani kuna democracy ambayo hutaiona popote Duniani, jipange uende siku moja then utatupa mrejesho.

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
Mimi si mgeni kabisa Marekani mkuu naijua.Kujua kwamba Marekani hakuna democracy,angalia tu Rais wa Marekani anachaguliwa na nani,the Electoral College.Rais wa Marekani hachaguliwi na popular vote,deligates waliopo kwenye Electoral College ndio wanaomchagua Rais wa Marekani.Fuata link ifuatayo uone utapeli huo
Voting in the US is just a formality,kuwadanganya Wamarekani kuwa wanamchagua Rais,lakini si kweli.Na hawa deligates ni akina nani.Hawa ni selected individuals in each state who represent the establishment,not the people.So kama mahali watu hawachagui viongozi wao kuna the so called democracy kweli hapo,there isn't,ni utapeli mtupu
 
Back
Top Bottom