Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Ila ni nadra sana kwa mtoto wa kike aliyekuzwa vema akawa anategemea kutiwa ili apate hela ya pads.Kwenye kujiju hapo haina soluhisho kwenye uwezo wa kununua pedi..!! Yaani ajiju asijiju, bado, kama kununua pedi ni hadi mtu anyanduliwe ujuwe hapo kuna tatizo..!! ingawa mna majibu ya nyodo, ila ukweli ndo huo.. Ni kujidhalilisha
Hata sisi tunaogopa wanetu wa kiume kuwa kama nyie, mmekua vilizi walalamikaji....mnaotaka mbususu za dezo dezo tu ukiombwa 30 nduki kukopa nipige tigo niwezeshe uje kutulalamikiaTatizo kwa sisi wanaume ambo tunahisi tukijaaliwa watoto wa kike watakua Kama nyie hicho ndio kinacho tuuma....ila wewe hata ikikopesha fresh tu
Picha ya nn
Mi nitalipia gharama za fundi.Najitolea mifuko 50 ya cement kwa ajili ya sanamu lako pale mjini makumbusho
Kuna madem wameshakuwa ombaomba yani ukijuana naye tu umekwisha [emoji706]Hata sisi tunaogopa wanetu wa kiume kuwa kama nyie, mmekua vilizi walalamikaji....mnaotaka mbususu za dezo dezo tu ukiombwa 30 nduki kukopa nipige tigo niwezeshe uje kutulalamikia
Ndio ni win win. Wewe unataka lako na yeye anataka lake kwahiyo mnapeana vile mnavyotaka kwa wakati huo. Kusingekua na uhitaji wa pesa na wanawake kusingekua na msururu wa madada poa na wanunuaji.Ni tatizo sugu... we angalia hata aina ya coments za baadhi ya wanawake kwenye hii post... MTU ANASEMA WIN WIN SITUATION....!!! (cc Mrs Van ). Hiyo win win situation kwa mara zote 12 kwa mwaka mzima? Na ni mpaka lini? Na ndiyo maana, mwanamke akiwa na pesa, madaraka au elimu kubwa baadhi yao huwa ni kazi sana kuishi nao kwenye jamii na hata kuolewa, na hasa kama vitu hivyo amevipata kabla hajaolewa... Wakiwa na hivyo, baadhi yao huwa wana-abuse normal system. Na wengine huenda mbali zaidi kwa kusema, MIMI KWA VILE NNA HIVI VYOTE, NTAWALIPIZIA VISASI WANAWAKE WENGINE WOTE...
Sikutegemea member mkongwe Kama wewe kuona 30 elfu inaweza ikakufanya uliwe mbususu yako [emoji21][emoji21].....Dada yangu hiyo ni hela unaweza kuipata kwa kufanya kazi bila kufunguliwa mapajaHata sisi tunaogopa wanetu wa kiume kuwa kama nyie, mmekua vilizi walalamikaji....mnaotaka mbususu za dezo dezo tu ukiombwa 30 nduki kukopa nipige tigo niwezeshe uje kutulalamikia
Huyu ni mke wa jamaa etu ....wakati huo ni mama watoto wa kike wa jamaa etu ......Wana hapa tumepigwaNdio ni win win. Wewe unataka lako na yeye anataka lake kwahiyo mnapeana vile mnavyotaka kwa wakati huo. Kusingekua na uhitaji wa pesa na wanawake kusingekua na msururu wa madada poa na wanunuaji.
Dunia inazunguka kuna mwingine atauza ndizi na mwingine atatumia mwili wake. Na kuna mwingine ataoa na mwingine atakua mteja maalumu kwa wanaojiuza. Maisha hayafanani huwezi mpangia amina aishi kana aisha
Umepigwa wewe na utapigwa sana tu.Huyu ni mke wa jamaa etu ....wakati huo ni mama watoto wa kike wa jamaa etu ......Wana hapa tumepigwa
Kwani kugongwa ni adhabu au ni starehe? Mbona unaichukulia kama kunyanyasikaSikutegemea member mkongwe Kama wewe kuona 30 elfu inaweza ikakufanya uliwe mbususu yako [emoji21][emoji21].....Dada yangu hiyo ni hela unaweza kuipata kwa kufanya kazi bila kufunguliwa mapaja
Hii kitaalam inaitwa G.G [Both team to score]Kama wewe unatoa ili upate kitu flani na yeye anakupa ili apate kitu flani. Win win situation
Kuombwa hakuepukiki kama nawe unaomba vya watu.....yani we uombwe halafu vyako ni HAKIOMBEKI?!!!Kuna madem wameshakuwa ombaomba yani ukijuana naye tu umekwisha [emoji706]
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app