Tuungane kuupinga uonevu wa AzamTv App katika masuala ya kuonesha mechi za soka.

Tuungane kuupinga uonevu wa AzamTv App katika masuala ya kuonesha mechi za soka.

Hii app ya azam noanaga mauza uza bora waweke chane zisizo za mpira wanazingua sana hasa kwa mechi kubww
 
Yani mnafanyiwa free bila kujali una kisimbuzi chao au la bado mnabwabwaja ukuda?
.
DSTV, SKY SPORTS na SATARTIMES bila kuwa na namba ya kadi ya kisimbuxi chako sahau kuona chochote kwenye app zao!
.
Huoni kama huo ni upunjaji mkubwa sana wengine walipie kifurushi Azam Tv ili kutazama mechi wewe utazame bure kwa kununua MB za Voda? Hivi hiyo ni akili au matope

Soon hamtaipata kabisa kama huna namba za kadi hutaweza kuingia na kama hujalipia kisimbuzi hutaona chochote
Acha ushamba wewe, ligi zote kubwa duniani tunacheki kupotia link mitandaoni bila kujalisha tuna dstv wala nini. Wadau wanalalamikia kwanini wanaondoa channel za mpira wakati gemu inakaribia kuanza?? Kama wanataka watu walipie kwanini wasiweke utaratibu unaoeleweka watu walipie?
 
Acha ushamba wewe, ligi zote kubwa duniani tunacheki kupotia link mitandaoni bila kujalisha tuna dstv wala nini. Wadau wanalalamikia kwanini wanaondoa channel za mpira wakati gemu inakaribia kuanza?? Kama wanataka watu walipie kwanini wasiweke utaratibu unaoeleweka watu walipie?
Ushamba ni nini?
Ungekuwa mjanja si ungeangalia kwa njia yoyote sasa hata kwa kuidukua mpaka unalalamika hapa inamaana wewe ni ngumbaru tu
.
Umeuliza kwanini wasiweke utaratibu unaoeleweka watu walipie, majibu nimeshayatoa soon app itaanza kuhitaji smart card namba ya kisimbuzi chako ndipo upate access ya kuona na sio kuona bure uwe umelipia kisimbuzi chako.
 
Ushamba ni nini?
Ungekuwa mjanja si ungeangalia kwa njia yoyote sasa hata kwa kuidukua mpaka unalalamika hapa inamaana wewe ni ngumbaru tu
.
Umeuliza kwanini wasiweke utaratibu unaoeleweka watu walipie, majibu nimeshayatoa soon app itaanza kuhitaji smart card namba ya kisimbuzi chako ndipo upate access ya kuona na sio kuona bure uwe umelipia kisimbuzi chako.
kwa hiyo wewe ndiyo huduma kwa wateja wa Azam na majibu yako ya jalalani
 
Wafanye kama dstv now..walink app na smartcard then mtu ataweza kucheki mpira hata akiwa mbali na nyumbani as long as amesubscribe kwenye kifurushi kinachohitajika
 
Azam hii ni fursa...wekeni utaratibu wa kulipia App
Jamaa hawako updated na fursa za kupiga hela..walipaswa waweke utaratibu wakulipia hiyo App yao..sisi hatuna neno..
 
Yani mnafanyiwa free bila kujali una kisimbuzi chao au la bado mnabwabwaja ukuda?
.
DSTV, SKY SPORTS na SATARTIMES bila kuwa na namba ya kadi ya kisimbuxi chako sahau kuona chochote kwenye app zao!
.
Huoni kama huo ni upunjaji mkubwa sana wengine walipie kifurushi Azam Tv ili kutazama mechi wewe utazame bure kwa kununua MB za Voda? Hivi hiyo ni akili au matope

Soon hamtaipata kabisa kama huna namba za kadi hutaweza kuingia na kama hujalipia kisimbuzi hutaona chochote
Siyo kweli
 
Back
Top Bottom