Tuunganishe nguvu tuwavutie wawekezaji kwenye haya maeneo ya mafuta na gesi tusiichie serikali pekee inatingwa

Sasa kama kuna Business Potential zote hizo,kwanini Waziri na wataalaamu wake hawawaelimishi Watanzania?Yeye Makamba aliona kufanya Marketing ya mitungi ya Gesi ya Taifa gas ndiyo Jambo la maana.
Boss sii vyema kuwasema viongozi wetu tena kwa kuwataja majina. Tujadili zaidi baada bila kuwasema viongozi wetu
 
Hiyo namba tatu boss, gharama utakazo okoa kwa kutumia mfumo wa gesi zinazidi hiyo millioni mbili.
 
Hiyo sa kusafirisha km 200 unamaanisha kwa njia ipi kwa gari au kwa bomba? Nilizungumzia mobile CNG, inawekwa kwenye gari maalumu lenye kituo cha kujaza gesi mojamoja kwenye magari mengine. Hilo gari linakua na tenki lenye CNG linazunguka mtaani na mikoani kusambaza hiyo CNG.
 
Swala la vifaa vya kujaza CNG nadhani hapo wanazungumzia compressor machine. Nadhani hapo lipo kwenye upande wa uwekezaji tu. Mwekezaji akipatikana hilo tatizo linatatulika kabisa.
 
Shida ni lile jini kuu ccm,nadhani Mwigulu angekuwa smart kama angesema kazi ya Tozo ni hii ya kitaifa hata kichaa angemuelewa hata mwendo kasi ni muda sasa itumie umeme na sio mafuta tunataka madiliko ya kimazingira na ki mkakati,Kazi ya hawa akina Mbowe iwe kuhamasisha mapinduzi ya kiuchumi na sio kukimbizana na mwizi wasiemjua eti katiba katiba wapi wakati mmeona urusi imevamia taifa mchana kweupe na hakuna aliezuia ccm inatawala kimabavu ni muda sasa wa kuja na plan B.
 
Swala la vifaa vya kujaza CNG nadhani hapo wanazungumzia compressor machine. Nadhani hapo lipo kwenye upande wa uwekezaji tu. Mwekezaji akipatikana hilo tatizo linatatulika kabisa.
Na sio kupatikana ni wakati wa hawa so called samia scholarship waelekezwe kwenye viwanda kwa ajiri ya Kazi hiyo ili kuleta ufumbuzu wa hili Jambo pekee napenda nchi ipige hatua kwa tozo ila kwa vitu muhimu kama hivi.
 
Charity starts at home,wewe umeanza kuwekeza kubadili mifumo ya magari au mobile refilling ulizotaja wapi?Fursa ni wazo.
 
Charity starts at home,wewe umeanza kuwekeza kubadili mifumo ya magari au mobile refilling ulizotaja wapi?Fursa ni wazo.
Mimi kwasasa nipo kwenye gesi ya kupikia. Hapa ndipo nilipowekeza boss. Karibu sana utumie gesi ya M-Gas. Unajinunulia gesi kuanzia ya 1000 Tsh, kupitia MPESA, TIGO PESA, AIRTEL MONEY au HALOPESA.
Ukitaka kujiunga kitumia M-Gas piga au WhatsApp 0747744895
 
Hii gesi sio yetu tuwape wazungu yote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…