TUVALU:- Nchi iliyopo hatarini kumezwa na bahari.

TUVALU:- Nchi iliyopo hatarini kumezwa na bahari.

Tuvalu ni nchi ambayo hautakiwi kuwa na visa ili uingie. Lakini pia ni nchi inayopata wageni wachache sana.
  • Ndege za kwenda huko ni adimu sana
  • Nchi haipokei credit card
  • Nchi nzima haina ATM 🏧 machines
  • Nchi nzima kuna Hotel moja tu na guest Houses chache sana
Halafu wana pisi mbovu tofauti na nchi nyingine za Polynesia wanazidiwa kwa mbali sana na wale wenzao wa Micronesia
 
Maisha ndio hahahaha mzee mwenzangu, Ila ukicheki hiyo airport kama kile kijumba Cha dead stone na rangi ya mabati ipo hivyo hivyo 😃😃😃😃
Halafu Airport yao iko mjini kabisa watu wanakatiza hovyo tu. Kabla ndege haijatua kinapigwa kipyenga kuwatimua watu uwanjani.

The Funafuti Airport in Tuvalu.

Fun Fact: The Funafuti airport is right in the middle of town and receives about three flights per week. When a plane lands in Tuvalu, a siren sounds so everyone can get off the runway
 
Back
Top Bottom