Halafu wana pisi mbovu tofauti na nchi nyingine za Polynesia wanazidiwa kwa mbali sana na wale wenzao wa MicronesiaTuvalu ni nchi ambayo hautakiwi kuwa na visa ili uingie. Lakini pia ni nchi inayopata wageni wachache sana.
- Ndege za kwenda huko ni adimu sana
- Nchi haipokei credit card
- Nchi nzima haina ATM π§ machines
- Nchi nzima kuna Hotel moja tu na guest Houses chache sana
Mkuu sura za kiChina china ndiyo wakali umewaona hivyo?Nimegugo mademu wa huko, ni wakali aiseee
Maisha ndio hahahaha mzee mwenzangu, Ila ukicheki hiyo airport kama kile kijumba Cha dead stone na rangi ya mabati ipo hivyo hivyo ππππNimecheka sana aiseee
Haha hahahMkuu sura za kiChina china ndiyo wakali umewaona hivyo?
Halafu Airport yao iko mjini kabisa watu wanakatiza hovyo tu. Kabla ndege haijatua kinapigwa kipyenga kuwatimua watu uwanjani.Maisha ndio hahahaha mzee mwenzangu, Ila ukicheki hiyo airport kama kile kijumba Cha dead stone na rangi ya mabati ipo hivyo hivyo ππππ
Hatari sanaSerikali ikawaokoe wanawake tu wa TUVALU.....
Hii ni nchi au barabara?
Duh..... Mi nadhani NI kichochoro kinachotambulika na Umoja wa MataifaHii ni nchi au barabara?
Malizaneni na Zanzibar kwanza.Kwanini tusiende kuwatawala tunasubiri nn?
Kweli kuna namna nyingi za kumkumbuka jiwe..Maisha ndio hahahaha mzee mwenzangu, Ila ukicheki hiyo airport kama kile kijumba Cha dead stone na rangi ya mabati ipo hivyo hivyo ππππ
Hawa wakali sanaπππ lakini hata Mwanza airport so walikuwa wanakatiza uwanjani na Magu akawaruhusu tu. Nako watakuwa wametokea TUVALU
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2][emoji2]hahahah hio ndio BOT yao
Inawatosha. Nchi ina watu 12,000/ tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2][emoji2]hahahah hio ndio BOT yao
Kama maji mtunginiHahahahaah Tuvalu,Tonga,Kiribati,Vanuatu nk visiwa flani Hivi amaizing havina mbwembwe saaaana vimetulia tuliii!
ππππππ
Haha hahah hahahHawa wakali sanaπππ lakini hata Mwanza airport so walikuwa wanakatiza uwanjani na Magu akawaruhusu tu. Nako watakuwa wametokea TUVALU
Labda kama huwajui mademu wakali.Mkuu sura za kiChina china ndiyo wakali umewaona hivyo?