Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Mbagala rangi 3 hyoooo...
ππππππππ
ππππππππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wajifunze tabia ya kupanga foleni na mabasi yawe ya kutoshashida ukiwa na subra hutapata seat
labdaNi bora kuwe na mabasi yenye milango miwili,
Mlango wa kuingilia na wakutokea,hii kidogo italeta unafuu watu kugongana kati ya wanaopanda na wanao shuka.
foleni wanaweza abiria wa mbezi tu π π π π π π πWajifunze tabia ya kupanga foleni na mabasi yawe ya kutosha
Shukurani zangu zikufikie kwa kutusitiri sisi tusio wasafiri tunaoziba mlango ili tupate maokoto, ila ushauri wako utatulaza njaa.
Ukipanda daladala unaweza kugundua jambo lilelile kila siku: kila daladala inapofika kituo chenye watu wengi mlango umeshazibwa na watu ambao hawawezi kusubiri kupambana kwa vile viti vichache. Mara nyingi watu wanapandaga hata kabla ya watu wote kushuka.
Aidha makondakta wanachangia kuongeza kero wakirudisha change mbele ya mlango kusababisha watu wanaosubiri change kuziba mlango. Hivi vitendo ni kero kwa watu wanaoshuka lakini pia inawachelewesha watu wote wanaotumia daladala pamoja na kuwa hasara kwa wazee, wagonjwa, wajauzito, nk. ambao hawana nguvu ya kupambana kupanda daladala.
Suluhisho ni rahisi: tuache ubinafsi na tuongeze utulivo.
Tuwape watu nafasi ya kutosha kushuka na kutoka halafu tukipanda tuheshimu wenzetu. Mwisho wa siku ni faida ya sisi wote; wanaoshuka wanaweza kushuka chap na bila kero na wanaopanda wanaweza kuwahi kupanda kuliko wakipanda kwenye ile fujo inayotokea mlango ukizibwa.
Basi wana ustaarabu sana hao kama ni hivyofoleni wanaweza abiria wa mbezi tu π π π π π π π
Mkuu tabia ya nigger haibadiliki ndo inazidi kuwa mbaya.Hii ni issue ya ''Ustaarabu'' ni tabia tu,nchi kama Japa huwezi kukuta watu wanagombania kuingia kwenye Public transport kabla ya wanaoshuka hawajashuka,
Ni ngumu kuibadili hii tabia kwa kuandika tu Uzi hapa JF,
Haya mambo yaanze kufundishwa kwa watoto toka wakianza Chekechea.
foleni wanaweza abiria wa mbezi tu π π π π π π πWajifunze tabia ya kupanga foleni na mabasi yawe ya kutosha
Cha kwanza ni kusimamia level seat tu.
Ukipanda daladala unaweza kugundua jambo lilelile kila siku: kila daladala inapofika kituo chenye watu wengi mlango umeshazibwa na watu ambao hawawezi kusubiri kupambana kwa vile viti vichache. Mara nyingi watu wanapandaga hata kabla ya watu wote kushuka.
Aidha makondakta wanachangia kuongeza kero wakirudisha change mbele ya mlango kusababisha watu wanaosubiri change kuziba mlango. Hivi vitendo ni kero kwa watu wanaoshuka lakini pia inawachelewesha watu wote wanaotumia daladala pamoja na kuwa hasara kwa wazee, wagonjwa, wajauzito, nk. ambao hawana nguvu ya kupambana kupanda daladala.
Suluhisho ni rahisi: tuache ubinafsi na tuongeze utulivu.
Tuwape watu nafasi ya kutosha kushuka na kutoka halafu tukipanda tuheshimu wenzetu. Mwisho wa siku ni faida ya sisi wote; wanaoshuka wanaweza kushuka chap na bila kero na wanaopanda wanaweza kuwahi kupanda kuliko wakipanda kwenye ile fujo inayotokea mlango ukizibwa.
ππTununueni magari
Mtanzania ustaarabu sifuri kbsNi kutokuwa wastaarabu tu
Mnahitaji kuwa na subra, sijui kwanini wengi wa watu ustaarabu zero
Kwani mkipanga foleni mnapungukiwa nini
Watu hawajashuka watu wanaingiaImekua ni kama tabia mkuu,wala hawaoni kua wanafanya kitu wrong,
Unaweza kuwashangaa nao wakakushangaa kwa wewe kuwashangaa wao.
Halafu wengi wanajiona wajanja kumbe malimbukeniMtanzania ustaarabu sifuri kbs
Wakati wa kupanda wanagombania,kushuka wanagombania yaan wako
Kama mangombeee
Ova
Mijitu mishamba iko kama mangombeHalafu wengi wanajiona wajanja kumbe malimbukeni