Tuwachangamshe vipi wanaume wapole

Hongera dada, huyo ndio husband material na a very good father of your future children's. Wanaitwa ma introvert, na wengi wakigundua hupendi hulka zao basi hukuacha kimya kimya na kutafuta mwingine Kisha utakutana na wanaume nginjanginja mguu wa shingo mguu wa roho miksa ngumi mkononi, kosa kidogo Kofi, mikaripio ya kufa mtu Hadi umkumbuke introvert wako, ukija kustuka na kurudi utakuta ameshawahiwa na mwingine. Kikubwa mzoee na kumkubali alivyo Tena baada ya mda na wewe uta realize Kuwa Kuwa cool person ni very good thing Kisha na wewe utahamia upande wake Ingawa haitakuwa sana kama yeye. Na ukiona hamuendani muache aende for good na sio kumsimanga na kumsema Kwa upole wake, though later you will regret to lose that man.
 
Somebody is going to have ban in a minutes ahead πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Haiwezekani mbona EX Leejay49 hamrarui future kwa maneno inawezekana huu ni uongo+ πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Alikuwa demu wangu tukaachana kisha kila mtu akaenda na kumi zake baadae mashemeji zake wakammind kwel mbona waliweka mpaka uzi. Ngoja nitafute
 
hahahahπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚@Gily hapana
 
hamnaga jema
 
Wanawake sijui mnakwama wapi?
Ukimpata muongeaji unalalamika eti anaongea kama mwanamke, umempata mkimya unasema hachangamki, ukimpata mkali unasema anafokafoka , daah sijui huwa mnataka nini nyie?? Akili zenu mnazijua wenyewe
 
Mrukishe ukuta, hutaamini, atachamka balaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…