IamBrianLeeSnr
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 2,010
- 4,179
πππππNa mimi nawapenda km hao wapole, sio mwanaume ana hekaheka km kuku anatafuta pa kutagia.
mshamba_hachekwi njoo huku unaitwaMimi nakwambia huyu jamaa huyu, ngoja ninyamaze Gily
nisogelee mama mi ni mpoleπNa mimi nawapenda km hao wapole, sio mwanaume ana hekaheka km kuku anatafuta pa kutagia.
baby Ms eyes nini shida??mshamba_hachekwi njoo huku unaitwa
You are a villain even without a kiss you will be fine.I can only get better if you kiss me on my cheekπ
mi ni mchokozi tu wala hata sina nia ya kuwatongoza πNaona unaita wadada wakusogelee.
Ni hivyo tu mambo ya kufahamiana zaidi...Nafikiri itapendeza au unasemaje!okay.
Now I understand mkuu
I'm madmi ni mchokozi tu wala hata sina nia ya kuwatongoza π
what can i do to make things right??πI'm mad
Kweli kabisa sikupingi.Ndo hivyo mkuu na hata ujifosi kuwa muongeaji huwezi.
Mimi sio mpole ila watu wengi wanadhan ni mpole na wengine.wanadhan nina dharau ila kuna watu nikiwa nao najikuta story zinakuja tu na wengine nakua muitikiaji tu.
Unanyapia sanaπ₯Ίwhat can i do to make things right??π
ni wewe tu mama usiwe na shaka.....Unanyapia sanaπ₯Ί