Tuwachangamshe vipi wanaume wapole

Mimi mwenyewe sipendi mwanamke aliyezubaa hata kidogo
 
Anakupima nguvu za kiume😁😁😁😁....
 
Tukichangamka Sana mnatuita machepele,Bora tuwe wapolee tu🤷🤷🤷
Wewe, niliwahi kujisogeza karibi na binti flani, nikamwalika dina huku nikijiandaa na uvuvi...wee dada amepoa kama maji ya ziwa magadi...
Baada ya msosi nikamrudisha kwao na sikumtafuta tena😂😂😂😂 upole kupitiliza unaboa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…