Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kaa mbali nakujua wewe ni mwanaharakati 😂Sasa wee umechangamka mnoo hakutakii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
NAwe una zoba lako?Njoo nikugawieee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ewaa kung'arisha nyota na kuongeza mvutona kunyoosha viungo😅 pia kuondoa mikosi....
hii long distance relationship ni shida 😅Silali bila wewe
Mimi mwenyewe sipendi mwanamke aliyezubaa hata kidogoJamani kuna nyie wanaume wapole kupita kiasi yaani wapole sana tufanye nini ili angalau muwe kawaida
Unakuta mwanaume ndo imeshatokea mna mahaba sasa ila hajiongezi yupoyupo hana michezo ya ajabu yaani hana maajabu yoyote
Yaan mpaka kuna muda mtu unahisi yan hapa nilijitongozesha maana unakuta kijana kimya, hela ndo mdomo wake kila unachomwambia anasema sawa habishi hakatai ukisalimia anajibu hana nyongeza ya neno.
Ukileta utani kidogo anacheka haongezi, utani mwengine yaan utajikuta umegeuka kiredio chake kama Huna story mnaweza mkakaa kimya hadi mnuke midomo.
Huyu mwanamme mpole anachojua ni kufunuana usiku tu aibuuu anazo yeye upole anao yeye yaan inagharimu furaha yoote mtu uliokuwa nayo.
Ndio tunapenda wanaume watulivu lakin utulivu ukizidi ni keroo
Sasa tuwachangamsheje jamani angalau mlete amsha amsha
Wewe tu ndio unafanya iwe complicatedhii long distance relationship ni shida 😅
Anakupima nguvu za kiume😁😁😁😁....Kwenye hela hawa watu ni hatari Sana. Kuna mmoja nimejuana nae ndani ya wiki iliyopita kitu Kama Alhamisi, baada ya kuwa single kwa muda nikaona ngoja nipate mtu wa kupunguzia majanga haya. Aisee mpaka Leo ashanilamba Kama kilo tatu hivi. Na bado sijaonesha hata nia ya kumtongoza imebidi nichange gia angani.
Tukichangamka Sana mnatuita machepele,Bora tuwe wapolee tu🤷🤷🤷Mimi mwenyewe sipendi mwanamke aliyezubaa hata kidogo
Kuna mapepe wenye mvuto wewe.Tukichangamka Sana mnatuita machepele,Bora tuwe wapolee tu🤷🤷🤷
haya em send nudes 😁Wewe tu ndio unafanya iwe complicated
Eeeeh🤣🤣🤣haya em send nudes 😁
Wewe, niliwahi kujisogeza karibi na binti flani, nikamwalika dina huku nikijiandaa na uvuvi...wee dada amepoa kama maji ya ziwa magadi...Tukichangamka Sana mnatuita machepele,Bora tuwe wapolee tu🤷🤷🤷
Njoo kwangu mzee wa kutoa Boko. Mimi na wewe tu... Tukitoka kwenye shoo tunaingia kwenye shoo Yani shoo-shoooo.Bado sijapata wa kufanana nae😂😂
long distance relationship.... nimekaukiwa nashindwa kuvumilia 😅Eeeh
Eeeeh🤣🤣🤣
Hii inatokea kwangu tu jmn??Tukichangamka Sana mnatuita machepele,Bora tuwe wapolee tu🤷🤷🤷
Ondoa hiyo profile haijakaa kishambahaya em send nudes 😁
Una moto sana dogolong distance relationship.... nimekaukiwa nashindwa kuvumilia 😅
Unaniuliza kama nimecheki zote njoo home nikupe zote nne😄hivi despicable me umecheki zote 3 kweli?? 😂