Tuwachangamshe vipi wanaume wapole

Wee nambie kuwa wazi wala usiogopeee, niko cool sanaaaa, ushauri na maonyo napokea, utekelezaji unabaki kuwa kwangu.

Maisha mafupii hayaaa bhanaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Okay thanks❤️🙏.

Unamfahamu mtu yeyote aliyekua gay then akaacha?

Naomba kama unaweza uache bestie🙏❤️🙏
 
Okay thanks[emoji3590][emoji120].

Unamfahamu mtu yeyote aliyekua gay then akaacha?

Naomba kama unaweza uache bestie[emoji120][emoji3590][emoji120]
Ooooh ahsanteee sanaa, usijari siku nikiamua kuachaa, nitaacha ila now acha nizifaidi mishedede. [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Niliona nikiendelea kumpa airtime huyu atajiona mshindi. Ikabidi nimalizane nae then tufunguane mashati. Sahivi anapiga simu kama kaibiwa nyumba. Sipokei wala simblock akichoka ataacha kwa muda wake.
😂😂😂Kumbe Sisi wasumbufu tunaonekana tumeibiwa nyumba
 
Ndio tunapenda wanaume watulivu lakin utulivu ukizidi ni keroo
Sasa tuwachangamsheje jamani angalau mlete amsha amsha
Ngoja umzoeshe amsha amsha ageuke kiwembe ndo utajua hujui 😁
 
Mpe kijiti cha Arusha, atachangamka mpaka utatamani atulie
 
Sitaki and don't stalk me?,🙏
No i don’t stalk you just try to understand my point please!

Nimependezwa na hali ya utulivu uliyonayo hata kupelekea kuweka wazi hisia za upendo nilionao juu yako, Nidhahiri bado hatuna ukaribu wowote ingawa nimekuwa nafatilia baadhi ya maudhui yako mbalimbali kwenye majukwaa tofauti, Lengo lilikua nifahamu aina gani ya maono uliyonayo pia uzuri wa moyo wako sana sana.

NAOMBA UNIPOKEE NA KUNISTIRI KWAKUWA NIMEWIWA NA UPENDO WAKWELI KWAKO Clepatina 🌹
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…