Tuwachangamshe vipi wanaume wapole

Ndio maana mnaambiwa tulieni mpaka mje kuolewa,hiyo shida unaipata kwa sababu ya kutest test wanaume tofauti,lakini ingekuwa huyo ndio wa kwanza wala usingeona hiyo ni shida...
 
Kuna demu nilikuwa namuonesha upole anacheat na nagundua nikawa namwambia uombe niendelee kunywa pombe nikiacha pombe itakuwa zamu yako akawa haamini nilitulia kama mwaka na point nikapumguza pombe saiz ananiomba niendelee kunywa pombe,tukitulia msitake tuwe wajanja
 
Na kubanduana anakuwa mpole, style ile ile kile siku, anakuongolesha kwa upole...
 
Tafuta mwenza wa nyota Yako...yaani mnaye endana.,.....Kuna watu wa nyota Fulani wanamtaka wa hivyo wamemkosa....siku hizi tunabebana TU bila kujali haya mambo,,, zamani walizingatia haya.
 
Shida tumeangali sana Porns video hata kusabisha kila unaemwangalia unaona yupo uchi sasa imebidi kubadili fikra na kudili na mitikasi ya kazi sana na majukumu mengine na kuchagua ukimya..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…