Wrevta
JF-Expert Member
- Jan 18, 2023
- 1,442
- 1,731
Kwako wewe unapenda mwanaume aweje kwa ufupi?Ni msalaba aisee watu wa hivi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwako wewe unapenda mwanaume aweje kwa ufupi?Ni msalaba aisee watu wa hivi
Ni kama wewe ila umejiwahi kuweka Rasta 😂😂😂😂tatizo hujawah ona upara😀 mimi sio kipara unafel. Huu ndio upara👇
View attachment 2626465
haha Ushimen ni babu ila ana hela chafu sana 😀😂😂 Naona Avatar yake
haha sio Leejay49. Kuanzia lini anaitwa lititumbwe?afu nlikua nimesahau Gily anataka umrudie uachane na @litutumbwe😂
🤣🤣🤣 kwamba sina kipara?Siamini kama ni Gily😂😂😂
🤣🤣🤣anaitwa litutumbwe aka tutuberti 😂
Njoo kwangu minimpole zaidi ya huyo...😊Tubadilishane🙏
Nikipata kipara nvaa wigi kama Nyoshi elsadatNi kama wewe ila umejiwahi kuweka Rasta 😂😂😂😂
huyo litutumbwe ndo HB mpya wa JF anakuibia warembo 😂
Anawatafuta playboysKweli wanawake tunajitafutiaga kulia wenyewe unawataka wanaume waliojanjaruka [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hahahahaaa😂😂😂😂Nikipata kipara nvaa wigi kama Nyoshi elsadat
walahi trust me hny..😊Waacha we.
@DeepPond role model wangu hapa JF, kaka hivi wewe mpole?!Kweli wanawake tunajitafutiaga kulia wenyewe unawataka wanaume waliojanjaruka [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mkuu, umepata wapi ruhusa ya kuweka picha ya braza wangu hapa...🤨
siyo kwelidronedrake mada za hivi za kutongoza,kula mbususu and the likes lazima comment ya kwanza au ya pili iwe yake. Why?
Na ndicho kilichobaki. Brother uliniambia nikitaka niwe nazo niwe na roho ngumu kwa marafiki!Shida tumeangali sana Porns video hata kusabisha kila unaemwangalia unaona yupo uchi sasa imebidi kubadili fikra na kudili na mitikasi ya kazi sana na majukumu mengine na kuchagua ukimya..
Ndo alivyoumbwa dear.kuna mda hata unatamani ajanjaruke ila sasa kagandaaa tu
ukitaka kuwawin wanawake wengi jitahidi kila kitu kwako kiwe neutral (..be centered) usiwe mkorofi sana uwe kiasi, usiwe mwongo sana uwe kiasi, usiwe mpole sana uwe kiasi, usiwe na michepuko sana uwe kiasi, usiwe mjuaji sana uwe kiasi usiwe zuzu sana uwe kiasi.. usiwe kiherehere sana uwe kiasi.. na umri huu sijui mwanamke gani nayemtaka na sitamkosa ila asiwe mke wa mtu au demu wa mtu.. chukueni code hiyo hangaikeni nayo..Wanawake siku mkijua mnachokitaka; na Masihi Atakuja siku hiyo hiyo wallahi 😁😁😁
Mimi ni huyu sasa ila nitaifuta mdaa si mrefu..Nikipata kipara nvaa wigi kama Nyoshi elsadat
So what gerarihere