Tuwachangamshe vipi wanaume wapole

Tuwachangamshe vipi wanaume wapole

Huyu amebaki kuwa rafiki tu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wee mie sitakii, huo urafiki unataka kuninyimaa nini?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Mie watu wanaokojoa kwa kusimama huwa sio marafiki zangu, ila wanakua baba tamu wangu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ko hapoo kwa urafikii nehiiiii, emu ukujee tenaaa naweee tukumbushiee. Uwiiiih
 
Mnatuchanganya sasa, Mara pesa, Mara tuchangamke, Mara hatuna maajabu. Sasa hivi mnataka tuanze kucheka tukiwa site.. Kuna siku wanaume tutaamua kugoma nchi nzima mpaka mtuambie mnataka nini.
20230406_063527.jpg
 
Nyumba inatakiwa ichangamke, sasa nyie mnaoneana aibu amekuwa mzazi wako huyo? Akishindwa, njoo tuishieni upate mafunzo kwa vitendo
 
Mtoe out weekend mtoke wote mwende klabu ama sehemu za watu mchanganyiko kama hatulii vilevi mafundisho kidogo atachangamka
Ushauri mbovu huu... pombe tena ?? Na vipi gari likiwaka kwenye gia ??
 
Wee mie sitakii, huo urafiki unataka kuninyimaa nini?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Mie watu wanaokojoa kwa kusimama huwa sio marafiki zangu, ila wanakua baba tamu wangu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ko hapoo kwa urafikii nehiiiii, emu ukujee tenaaa naweee tukumbushiee. Uwiiiih
IamBrianLeeSnr nakukabidhi cocastic huyu ni wako wa kufa na kuzikana 😬🤣
 
Umesema kweli wewe ni mcharuko prp max[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwanza mie ningepoaa ningeboaa bhanaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watu wanapenda ucharuko wangu, uchangamfu, yaan full heka heka.

Napoajee kwa mfanoo aaaah wee.
 
Back
Top Bottom