Tuwachangamshe vipi wanaume wapole

Tuwachangamshe vipi wanaume wapole

Sasa namrukia huko huko huyo clepatina wakooo, kwann aniingilie kwa baba tamu wangu? Yeye amekosaa wa kwake??

Akuje hapaaa anielezeeee.
Kwa heshima na upendo nilionao kwako kamwe siwez shea dushe na wewe.🤣Huyo ni wako shoga wasitugombanishe.Tena nitakusaidia kumchunga nyakunyaku wasikuibie🤣
Mkabe asichoropoke🤣
 
Kwa heshima na upendo nilionao kwako kamwe siwez shea dushe na wewe.[emoji1787]Huyo ni wako shoga wasitugombanishe.Tena nitakusaidia kumchunga nyakunyaku wasikuibie[emoji1787]
Mkabe asichoropoke[emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watu na udugu wetuuuuuu, nyaku nyaku wepiiii?? Kwangu hapanaaaaaa.
Nishavuka hizo level.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Vijora viwe pambe tafadhali,watu tujimwayemwaye
Mie sio wa uswahilini, afu naolewa uchagani.
Sasa vijora hivyo vipiiii?

Ni kitambaa, meta 1 bei ni 50k dukani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom