Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
Mbona bwana harusi mwenyewe anakimbiakimbia🤣?Anakaribia kuolewa nakuletea sampo ya sare ya kitchen party soon🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona bwana harusi mwenyewe anakimbiakimbia🤣?Anakaribia kuolewa nakuletea sampo ya sare ya kitchen party soon🤣
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa huyo atafanya nn? Anajua mie naweee tumetokaa wapiii? Mbna wifi kapataa akuje nimuonesheeee.
Sasa huyu mwanaume mimi nampeleka uchagani kweli weeh! Nitake radhi tafadhali😂😂😂Mbona bwana harusi mwenyewe anakimbiakimbia🤣?
Hairuhusiwi Kwani?🤣🤣Sasa huyu mwanaume mimi nampeleka uchagani kweli weeh! Nitake radhi tafadhali😂😂😂
Laana hii nitatengwa na ukoo mzima hadi mkoa wote! 😂😂😂😂Hairuhusiwi Kwani?🤣🤣
Ashindw yeye kufunga ndoa?Naongezea 500k nyingine itimie 1M kamili.🤣🤣
Kwa heshima na upendo nilionao kwako kamwe siwez shea dushe na wewe.🤣Huyo ni wako shoga wasitugombanishe.Tena nitakusaidia kumchunga nyakunyaku wasikuibie🤣Sasa namrukia huko huko huyo clepatina wakooo, kwann aniingilie kwa baba tamu wangu? Yeye amekosaa wa kwake??
Akuje hapaaa anielezeeee.
utamu!!Laana hii nitatengwa na ukoo mzima hadi mkoa wote! 😂😂😂😂
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watu na udugu wetuuuuuu, nyaku nyaku wepiiii?? Kwangu hapanaaaaaa.Kwa heshima na upendo nilionao kwako kamwe siwez shea dushe na wewe.[emoji1787]Huyo ni wako shoga wasitugombanishe.Tena nitakusaidia kumchunga nyakunyaku wasikuibie[emoji1787]
Mkabe asichoropoke[emoji1787]
Maharage yakikaribia kuiva huwa yanaruka ruka toa hofu harusi tunayo dada🤣🤣Mbona bwana harusi mwenyewe anakimbiakimbia🤣?
Daaah sa itakuwaje na yeye keshakukabidhi usukani uendeshe ndinga?Laana hii nitatengwa na ukoo mzima hadi mkoa wote! 😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣Vijora viwe pambe tafadhali,watu tujimwayemwayeMaharage yakikaribia kuiva huwa yanaruka ruka toa hofu harusi tunayo dada🤣🤣
Mie sio wa uswahilini, afu naolewa uchagani.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Vijora viwe pambe tafadhali,watu tujimwayemwaye
Unayoijua wee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]aisee[emoji23] arusha sehemu gani
nakaa arusha ila sijawahi kuskia hizo chimbo😂Unayoijua wee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwan unadhan wanajipanga barabarani km kimbokaa? Wee ni ku req mtu anakuja hadi ulipooo.nakaa arusha ila sijawahi kuskia hizo chimbo[emoji23]
Siwez kukuchukulia baba tamu wako dear😘Arururururururuh, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Niachie my wangu plz,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na hatuachaniiii kamweeee, mie na wee mileleeeeeee.Haki ya kweli nilmelifind sasa nimeligeti hahahahaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Weuweeeeeeeeee!!!!! Hapo sasa mie rohoo kwatuuu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Siwez kukuchukulia baba tamu wako dear[emoji8]