cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wallah unanivunjaa mbavuu jamaniii, kwa kweli nifundisheee.Sasa utakubalije akufukunyue hlf akuache na wewe[emoji23][emoji23].
Kama hujui jins ya kuwa king'ang'anizi niambie nikufundishe[emoji23].
Mgande kama luba.
Ukiona tu anasogelea mdada chimba huyo mdada biti.[emoji23].
Kwan ulimtuma aseme kakuota[emoji1787].
Kaona ushafoli inlavu anataka kukukimbia.
Wewe ndo tolea namba moja na namba kumi na moja wake usikubali[emoji23]
Wee kunifukunyua kotee kulee, nlivokua najipindaa kuulilia na kuukatikia ili asione wengine, leoo ananiachaa jomoneee [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Boraa nisingekubaliii, kumbe alikuja kwangu km mtafiti, woiiiiii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] afu mie nkazama mazimaaaa.