Bado kidogo wanaume wa Dar wataanza kuvaa sketi!kuna modo zimetoka zinabana kwa chini ndiyo wanazikimbilia balaa nawakubali sana machalii wa arusha ni wagum sana adi mavazi
Huko huko hahaaa" yan kuna wanaume sikuhz wamewazidi urembo hadi nyie dada zetuhaaaaaa mkuu kutindua nini [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Hawa wako Tz nzima mbona hata arusha nimewaona" sema kwa sababu dar ni jiji kubwa wako kwa wingi zaidi.nimekaa arusha mbeya mwanza hii vitu sijawahi ona ila dar ni kwa wingi sana adi mwanaume anarembua na kubenyua mdomo....
haaaaView attachment 415073 kuna I style sku izi pia
Mmakonde huyoView attachment 415073 kuna I style sku izi pia