Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu nimecheka sanaWengi wenye huo ujinga ni wanaume wa dar wengine sasa hivi wanashinda kabisa kwenye saloni za kike na dada zao!View attachment 415076
So sawa kabisa ila nyinyi ndio mnaplay part kubwa ya hao kuwa hivyo na ninyi pekee mnaoweza kuwabadili sasa mnafanyanye iliwao wabadilike ndicho nilichokuwa namaanisha?mkuu silaumu ila wewe unaona ni sawa wanayofanya? acha panganga mkuu dume linajipodoa na kutoboa pua?
Umesahau wanachonga mpaka nyusi" wanapaka lip shine
Mm kama mwanaume wakweli hua nachukizwa sana na tabia hiz
Hahahaa laana kabisa mkuu" mwanaume anavaaje dera duhWameshaanza kuvaa madera...... Ktk miziki yao wanayoita Singeli wacheza shoo wanavaa Madera...... Hii ni laana ama??
Kuna tatizo gani kujipulizia marashi/cologne/perfume/body spray?umewasahau wavaa Chen, wapiga tattoo, wapaka marashi. Mwanaume anatumia roll-on, lotion au mafuta mazito tu.
Mwanaume wa Dar![emoji30]Kamwe Sitakaa na Michunusi Usoni Sitaacha kuogea Sabuni Kama Deto na Shower Gel eti kisa Mwanaume Never napenda kuwa Smart!
Woiiii.....Anakurushia pesa tuu tayari ushalegea..Tena wanaboa sana ndio maana siku hz bei ya vipodozi na modo imepanda maana watumiaji na walio na uhitaji ni wengi.
Yanatuongezea gharama za maisha tu mxieeew, mi nikikutana na wa dizaini hiyo ht salamu yake siitikii.
Wanaume wa Dar wana mengi walahi tena!Kuna tatizo gani kujipulizia marashi/cologne/perfume/body spray?
Sawa mwanamke wa mikoani!Mwanaume wa Dar![emoji30]
Aisee mimi huwa najiuliza sana...Kizazi kijacho sijui sijui itakuwaje....Baba muhuni huni mama mcharuko...mtoto atakuwa kitukoHata vibint vyenyewe navyo micharuko mitupu, sasa sijui familia za kizazi kijacho zitakuwaje. Mama mcharuko, baba mpaka poda na mvaa nguo za kike, mtoto...
Hahahah wa hivyo wengi ht pesa hawana. Wanaume wenye pesa hawanaga mambo ya hivyo.Woiiii.....Anakurushia pesa tuu tayari ushalegea..
Mwanamke wa mkoani ana baraka zote za mungu,ole kwa wanaume wa Dar wanaojichubua,kurembua macho,kupiga selfie na fimbo ndefu,kuvaa milegezo,kupiga robo bao,kusuka nywele kama wadada,kuvaa mashati ya vitambaa vya khanga na kuuza tigo!!.......amen amen nakumbia tayari laana iko juu yao!Sawa mwanamke wa mikoani!