Tuwaeleweje hawa wanaume wanaojichubua, kuvaa modo, kusuka na kutoboa pua?

Tuwaeleweje hawa wanaume wanaojichubua, kuvaa modo, kusuka na kutoboa pua?

Kamwe Sitakaa na Michunusi Usoni Sitaacha kuogea Sabuni Kama Deto na Shower Gel eti kisa Mwanaume Never napenda kuwa Smart!
Hujaambiwa uache kuogea sabuni nzuri na manukato ya kutosha,no,ameuliza kwanin mnapenda kutoga masikio mkaona haitoshi mmeamua kutoga na pua,aiseee hivi wanaume wa dar mna matatizo fan?
 
Wameshaanza kuvaa madera...... Ktk miziki yao wanayoita Singeli wacheza shoo wanavaa Madera...... Hii ni laana ama??
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] you made ma day wallah
 
Jitu Limeingia katika Jukwaa la Urembo halafu lina Pretend kuwatukana watu wanaoishi Dar es Salaam Tanzanians hatujielewi.
Mbona kama huu uzi umekugusa sana,kama kuna kaukweli hebu jaribu kubadilika,hayo mambo waachie kina James
 
wanawake mnawapenda wanaume wa namna hiyo ndio maana wanapenda kuvaa hivyo...wakateni muone kama wataendelea kuvaa.
 
Wamepoteza kujitambua
Hawajajifunza kanuni za uanaume kutoka kwa wanaume wengine
Hivyo wamejifunza kutoka kwa wanawake na mashoga kama ma role model wao.
kuna vitu kama mwanamke naviangalia na naishia kusikitika.. hivi inakuaje hili wimbi la wanaume kwa kasi ya ajabu kujiremba? hivi mwanaume kujichubua ni ili awe mrembo au? wameenda mbali mpaka pua wanatoa maana hereni wameona haziwatoshi. mwanamke tunavaa modo kutokana na maumbile yetu sasa hili la mwanaume unavaa modo ili? kiukweli wanaume wa sasa mnafika mahali mnajidhalilisha sana mwanaume unatoboa pua?
 
Back
Top Bottom