Kyalow
JF-Expert Member
- Mar 6, 2011
- 3,548
- 2,580
Hao ndio Wanao jiuza kwa Wabibi wa Kizungu?!kuna modo zimetoka zinabana kwa chini ndiyo wanazikimbilia balaa nawakubali sana machalii wa arusha ni wagum sana adi mavazi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao ndio Wanao jiuza kwa Wabibi wa Kizungu?!kuna modo zimetoka zinabana kwa chini ndiyo wanazikimbilia balaa nawakubali sana machalii wa arusha ni wagum sana adi mavazi
Ungekua sahihi zaidi kama ungesema wimbi la wanaume wa Dar es Salaam.kuna vitu kama mwanamke naviangalia na naishia kusikitika.. hivi inakuaje hili wimbi la wanaume kwa kasi ya ajabu kujiremba? hivi mwanaume kujichubua ni ili awe mrembo au? wameenda mbali mpaka pua wanatoa maana hereni wameona haziwatoshi. mwanamke tunavaa modo kutokana na maumbile yetu sasa hili la mwanaume unavaa modo ili? kiukweli wanaume wa sasa mnafika mahali mnajidhalilisha sana mwanaume unatoboa pua?
Haaa haaaa haaaa haaaaWengi wenye huo ujinga ni wanaume wa dar wengine sasa hivi wanashinda kabisa kwenye saloni za kike na dada zao!View attachment 415076
Sasa mtu kafungia suruali katikati ya matako atarushaje teke jamani?
MkuuNdio maana scorpion alikuwa anafanya yake wanamwangalia tu. Hao ni vimeo kabisa.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] ni shida haswa sasa hivi wanaume wanajichubua vibaya sana!
Ndugu mtoa maada!!kuna vitu kama mwanamke naviangalia na naishia kusikitika.. hivi inakuaje hili wimbi la wanaume kwa kasi ya ajabu kujiremba? hivi mwanaume kujichubua ni ili awe mrembo au? wameenda mbali mpaka pua wanatoa maana hereni wameona haziwatoshi. mwanamke tunavaa modo kutokana na maumbile yetu sasa hili la mwanaume unavaa modo ili? kiukweli wanaume wa sasa mnafika mahali mnajidhalilisha sana mwanaume unatoboa pua?
Mkuu, sio wa dar tu. Hata wa nikoani huku nao wanaingia ktk janga hiloInabidi hawa wanaume wa Dar tuwawekee kodi maalum ya kujirembua na kujiremba huenda hili wimbi likapungua mkuu!
Hapana,hii ni issue ya wanaume wa Dar tu!.....Huku Namtumbo niliko sijawahi kuona mwanaume anajipodoa!Mkuu, sio wa dar tu. Hata wa nikoani huku nao wanaingia ktk janga hilo
Huyu jamaa mchekeshaji mkuu,usimzushie anaitwa nickbaroWengi wenye huo ujinga ni wanaume wa dar wengine sasa hivi wanashinda kabisa kwenye saloni za kike na dada zao!View attachment 415076
Yaani tangu tukugongee umetangaza vita mtandaoni!Hapana,hii ni issue ya wanaume wa Dar tu!.....Huku Namtumbo niliko sijawahi kuona mwanaume anajipodoa!
Wanautamani ulimwengu wa kikekuna vitu kama mwanamke naviangalia na naishia kusikitika.. hivi inakuaje hili wimbi la wanaume kwa kasi ya ajabu kujiremba? hivi mwanaume kujichubua ni ili awe mrembo au? wameenda mbali mpaka pua wanatoa maana hereni wameona haziwatoshi. mwanamke tunavaa modo kutokana na maumbile yetu sasa hili la mwanaume unavaa modo ili? kiukweli wanaume wa sasa mnafika mahali mnajidhalilisha sana mwanaume unatoboa pua?
Kuachwa kubaya sana,naona tokea uachwe na yule mwanzi wa JF umekuwa kama paka shume![emoji4]Yaani tangu tukugongee umetangaza vita mtandaoni!
Najuta kukugongea.Kuachwa kubaya sana,naona tokea uachwe na yule mwanzi wa JF umekuwa kama paka shume![emoji4]