Tuwaenzi wachezaji wa soka wa zamani na sasa

Tuwaenzi wachezaji wa soka wa zamani na sasa

Wachezaji wapo wengi sana wala huwezi kumaliza kuwataja, wapo waliocheza tu kwa muda mchache na wapo waliocheza muda mrefu.

Labda useme kila Mtu amtaje Mchezaji aliyevutiwa nae na aulizie alipo ili kam kuna mwenye taarifa alete.

Muhidini Cheupe tunapishana naye sna huku kwenye viunga vya Arusha.

Mimi binafsi natamani kujua alipo Sunday Juma, ingawa kiukwelisijui hata anafananaje ila alinivutia kwa kusikiliza tu redioni anavyokipiga akiwa Simba enzi hizo..
Muhidin Cheupe tulimaliza intake moja std7 Arusha mimi nilikuwa Uhuru primary yeye alikuwa Kaloleni Arusha nikija Arusha namtafuta tujadili uzee wetu.Ana mtoto wake naye yuko tasnia ya michezo mwenye contacts zake ani inbox december hii nakuja Arusha vijana wa siku hizi wanaita R Chuga
 
Muhidin Cheupe tulimaliza intake moja std7 Arusha mimi nilikuwa Uhuru primary yeye alikuwa Kaloleni Arusha nikija Arusha namtafuta tujadili uzee wetu.Ana mtoto wake naye yuko tasnia ya michezo mwenye contacts zake ani inbox december hii nakuja Arusha vijana wa siku hizi wanaita R Chuga
Muhidini nadhani ukifika hata pale Sheikh Amri Abeid Satdium ukipata Wahusika wanaweza kuwa na taarifa na hata contact zake.
 
Omar mahadh
Athuman Mambo sasa.
Iddi Pazi
Jonh Bosco
Moses Mkandawile
Mackenzie Ramadhani

Daudi salum(Bruce Lee)
Mohamed kajole
Raphael Paul
Michael Kidilu
Mohamed Bakari tall
Alan Shomari
Ramadhani Lenny
Sunday Juma
Nico Njohole,
Eric sagara,
Francis Mwikalo,
Dan muhoja,
John Makele zig zag,
Malota soma,
Zuberi Magoha
Zamoyoni Mogela
Edward chumila

Hamiss kinye,
Joseph Fungo
Yusuph bhana
Laurence mwalusako
Ahmed Amasha
Kenneth Mkapa
Isihaka Hassan chuki
Athuman Juma chama (Jogoo)
Rasheed idd chama
Abuu bakar salum ( sure boy)
Athuman China
Muhidini cheupe
Abed mziba.
Charles Boniface mkwasa (master)
Omar husen(Kelvin Keegan)


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Je umepata mawasiliano ya Muhidin Cheupe ?

Kama bado taarifa zake ni kuwa yupo Arusha.
 
Steven mapunda - Garincha,winga hiyo,Majimaji sports club - songea,huyu yupo songea
 
Madata Lubigisa
George Masatu
Hussein Amani Masha
Amour Aziz
Innocent Haule
Fikiri Magoso
Godwin Aswile
Jimmy Moredi
Simon Mwakuna
Kimanda Constantine
William Fanibula
Kassim Mwajeke
Celestine Sikindembunga
Wilfred Njau
Bahati Mwaipopo
Robson Simon
Elisha John
Oswald Morris (super center forward)
Mponjoli -Rungwe Sec
Monti-Kipoke Sec
Kinanda Costantine?🤔
 
Back
Top Bottom