Blue Bahari
JF-Expert Member
- Aug 21, 2016
- 1,851
- 2,171
Tuambie utajiri wako [emoji3][emoji3][emoji3]Mbona mimi hjaniweka? ina maana hujui kuwa mimi ni tajiri?
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuambie utajiri wako [emoji3][emoji3][emoji3]Mbona mimi hjaniweka? ina maana hujui kuwa mimi ni tajiri?
Mwembe,Aidani toka ChunyaMbeya unamuachaje Babito???
Hao mabilionea kweli? Isije ikawa kama mabilionea wa Arusha/Moshi ,maana Arusha/Moshi mtu akiwa na Altezza/Subaru na vyumba viwili anaitwa Bilionea.Weka na Chapaulinge, Memba, Tunyande, Andrew Midu, Fresh ya Shamba, Mafegi, Okoa, Sombrero, Safina
😅😅😅😆😆😆Prakatatumba abaabaabaa tajiri la Mpanda-Katavi
Angekuwepo angeshusha list daaah let him REST.Hii kazi mngemuachia magufuri,huyu mwamba aliwajua matajiri wote mpaka na biashara zao kwa tz nzima mpaka wilaya zake
Huyo demu sio yule anayechukiwa na Yanga sasa hivi 😁Achimwene tajiri mtoto wa Chunya.
Mabasi yake ya Achimwene ukienda kukata tiketi ya kesho siti zimeshajaa
Baada ya kupiga maokoto mwisho mwaka kala bata na mtoto mzuri kutoka jiji la matapeli Dar
Wiki 2 mrembo yuko Mbeya anakula nauli zetu tulizomchangia Achimwene
Ndiyo huyohuyo mkuu huyo mwanamke sasa hivi anatombesha sana kmmmkHuyo demu sio yule anayechukiwa na Yanga sasa hivi 😁
Juzi nmemuona kwenye siku ya madini sijui mgeni, mwalikwa au balozi, anatembea sio mchezoNdiyo huyohuyo mkuu huyo mwanamke sasa hivi anatombesha sana kmmmk
Hapo ukiona hivyo ujue kuna jamaa huko wizarani anaichapaJuzi nmemuona kwenye siku ya madini sijui mgeni, mwalikwa au balozi, anatembea sio mchezo
ChaiHao mabilionea kweli? Isije ikawa kama mabilionea wa Arusha/Moshi ,maana Arusha/Moshi mtu akiwa na Altezza/Subaru na vyumba viwili anaitwa Bilionea.
DuuhKwa songea OTTAWA huyu mwamba jeshi la mtu mmoja huyo feo kuna mikono ya wanasiasa kibao pale ila huyu OTTAWA INGEKUWA ANA MENEJIMENT NZUR NA MAGUFUR ASILETA SIASA MBOVU KWA HUYU MWAMBA NAZAN HUYU NDIO ANGESHIKA NYANDA ZA JUU KUSINI SIO MBEYA WALA NJOMBE JAMAA ANAJIWE JAMAA ANA MASOKO MATATU NYUMBA 650 ZOTE ZA VIWANGO TUACHE HAYO ANA GHOROFA NANE VIWANJA TOWN PENYEWE AMEPASHIKA NAKUMBUKA ZAMAN ALINUNUA BUS AINA YA SCANIA 8 KWA PAMOJA AKAWA ANAPIGA ROUTE DAR SONGEA NI BURE SIKU SABA VIPI KUNA TAJIR ANAWEZA FANYA HIVYO AFU NI MZAWA WA HAPAHAPA SONGEA
Duuh2010 nilikuwa dereva wa hayo mabasi na tuliyatoa sauth kupitia border ya mbeya mpaka songea, kuhusu nyumba hata kesho tukienda songea nakuonesha moja baada ya nyingine coz ni mtu wa jiran sana na huyu mwamba namfaham nje ndani kuanzia watoto wake nyumban kwake mkewake nk mpaka chumba anachoifadhia pesa mpaka chakula anachotumia na ni muda gan analala na muda gan anaamka, sio hayo tu mpaka watu waliomtapeli bilion mbili na kusababisha kushake kidogo kiuchumi tuje kwa feo nimefanya kaz kwake hom kwake miaka mi tano namjua nje ndani mpaka hawara zake kwahy ninaposema kitu huwa na udhibitisho navyo