Tuwafahamu Matajiri Maarufu wa mikoani

Baba Levo - huyu ni wa Kigoma, ni mfanyakazi wa Wasafi
 
Babylon - Kilosa ,Morogoro.

Alysaed - Morogoro

Abood - Morogoro ,Msamvu.
 
Huyo demu sio yule anayechukiwa na Yanga sasa hivi 😁
 
Sawa ,, pale iringa ukiachana na warabu wakina Asasi na wakina M.T huwel

Kuna mwamba mmoja anaitwa

MZALENDO

Naye siyo mnyonge hata kidogo

Afu kuna huyu wanamwita

KAUNDAMA

naye kwakweli anajitahidi m
 
ili mtu uitwe TAJIRI, ni lazima uwe na MALI zenye THAMANI kuanzia DOLA MILLIONI MOJA za KIMAREKANI na kuendelea.($1M+)
 
Duuh
 
Duuh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…