Tuwafahamu Watu Maarufu waliokuwa wanatajwa sana na Wanamuziki wa Band nchini Tanzania


Unamjua DIDIE KINWANI ? CHACHU OMBARA JE?? Hao nao naskia wana mpunga balaa na koffi haachi kuwataja
 
Pedeshee Jimmy Chocolate aliimbwa na marehemu Ndanda kasovo, uyu bwana alikua na mishe gani mtujuze watu wa uko Dar tujue sisi watu wa Bariadi tulikua na Pedeshee JOHN CHEYO, A.K.A MAPESA
John Cheyo ni wa masaki Dar, nyumbani kwake si mbali sana na ubalozi wa South Africa au sea cliff apartments, huko Bariadi makolo wake alikuwa akiwatumia tu kupata ubunge, hadi Magu wameshawahi kumpa Ubunge, ana mdogo wake anaitwa Isaack Cheyo pia alikuwa anapewa ubunge wa Bariadi Magharibi naye ni mtu wa Dar maskani yake Kinyerezi tulikuwa tuna kijiwe chetu enzi hizo tunapiga lager za kutosha.
 
Choki alikwenda Kamanyola band ile ilikuwa inapiga vila park ina mixer na Wacongo.

Then akaibukia Arusha hatimaye amerudi nyumbani Twanga.
 
Duu aisee hii kali

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Mkuu achana nae huyo, atakuwa bado umri mdogo sana, kuna hadi nyuzi humu kumuhusu Hidaya
 
Jamaa hujui kitu halafu mbishi, kubali kufundishwa uelewe.
 
Yule Ahmed Bakayoko ni nani? Wakongo wengi wanamtaja katika nyimbo zao,
 
Isack Cheyo Mzee wa Casino!
 
Unaujua ule wimbo
Nimepoteza kipenzi changu hapa tanzaniaaa[emoji445]
Nimepoteza mkanda wa kiuono[emoji445]
Nitarudii kwa Hidayaa[emoji445] hidayaaa hidayaaa[emoji445]

Unaambiwa Hidaya alikua ni mrembo vibaya sana enzi za uhai wake akiwa kijana
Wimbo wa Pepe Kale

Hidaya alikuwa Mtoto wa Kaloleni Arusha, sasahivi ni Marehemu ila ana Mtoto pisi Kali haswa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…