Tuwafahamu Watu Maarufu waliokuwa wanatajwa sana na Wanamuziki wa Band nchini Tanzania

Tuwafahamu Watu Maarufu waliokuwa wanatajwa sana na Wanamuziki wa Band nchini Tanzania

Hawa wasanii wao kusifiasifia kutaja watu tu...wengi magumashi
Nmekumbuka enzi zile za twanga pale mango..... wana vuma mm mwenyewe nlikuwa mdau sana wa ile bendi 😄
Sasa kuna siku show yao pale inapigwa mara akaingia jamaa mmoja alikuwa maarufu kino na mtu wa ngada..jamaa kuingia tu na team twanga wakamrusha....jina 😄 jamaa wacha amind ilibd awafate jamaa wa bendi akataka kuwaletea uzushi.... 😄 ila jamaa naye alishapotea kwenye game choka

Ova
Hatari sana enzi hizo Twanga ya Moto ,Ally Choki wa Moto.
 
Hii itawasaidia nini WaTz wanaohangaika na kutafuta unafuu wa maisha yao,acha ujinga basi
kama umekuja kwenye uzi huu kwa mategemeo ya kupata msaada wa kifedha au elimu ya ujasiriamali, imekula kwako. hutapata msaada wowote.

hizo njaa zako na hasira ya kuchapwa na maisha peleka kwenye nyuzi zingine, huku ni stress free zone. karibu.
 
Back
Top Bottom