Tuwafahamu Watu Maarufu waliokuwa wanatajwa sana na Wanamuziki wa Band nchini Tanzania

Dada moja mnyakyusa anauza spea za magari pale ilala yes anafanya vizuri kwenye business yake na huchukulia spea zake Dubai, wasanii si unajua wao kitonga tu wanakurusha
kumbe jack umeme ndio huyo!?.
huwa nasikia jina lake kwenye nyimbo za singeli. mzee wa bwax huwa anamtaja sana.
 
Huyu Papa msofe alikuwa anaishi upanga. , Walinzi wamasai kwake, kuna mdau umemsahau , juma kapuya akudo wamemtaja sana
Juma Kapuya alikuwa ni mbunge wa Kaliuwa Tabora, amewahi kuwa waziri wa wizara ya kazi, jamaa ni Profesa pia na ndiye mmiliki wa Akudo band.

Tanzania one Mohammed Mwameja amekula sana fadhira za huyu mzee mnazi wa Simba, nahifadhi privacy.
 
Mancity car wash na Africa Sana Cristian Bella kayataja Sana hayo maeneo
 
Huyu Papa msofe alikuwa anaishi upanga. , Walinzi wamasai kwake, kuna mdau umemsahau , juma kapuya akudo wamemtaja sana
Huyo
 
Pedeshee Yanga Omary, uyu alimuozesha Muumini Mwinyijuma Demu wake aliitwa Sada Salehe mwarabu koko wa chumbageni, Muumini Enzi izo alikua anatamba na Bendi yake ya Tamu tamu [emoji1787][emoji1787] maisha yanaenda kasi sana
 
...Wanawake! Unaupata Ubunge wa Kuteuliws na une Mume kama huyo Zimemtembelea, halafu unaishia kutembea na Dereva Wako!!
Yuko wapi' Sasa?
Alikuwa anaitwa Mbunge nani?
Jina lake simkumbuki mkuu,ila ubunge aliupata awamu ya pili ya Kikwete
 
Huyu Papa msofe alikuwa anaishi upanga. , Walinzi wamasai kwake, kuna mdau umemsahau , juma kapuya akudo wamemtaja sana

Huyo
Huyo alikuwa mtu wa moro, hata zile ngumi alipigwa Mr nice na dudubaya, wanasema walikuwa wanamgombania,🐱enzi hizo kuna miss moro alifia kwake
 
Hata Le Mutuz naye anatajwatajwa sana na mabendi
Le Mutuz licha ya ujinga ulimjaa kichwani ni baharia, miaka ya 80's na 90's bahari hapa mjini ni flag kubwa.

Kwahiyo usimchukulie powa Le Mutuz yumo naye katika watoto wenye Dar yao, ni kwamba tu ameharibikiwa akili uzeeni na kuingia kwenye uchawa ndio maana watu wanamdharau.
 
Balhabou hana undugu na azam
Wakina balhabou asili yao moro
Huyu alikuwa anachezea hela maana
Walikuwa na line ya mafuta ya trasit
Kuna mkubwa fulani walipozinguana nao akawakatia line.

Ila kwa mate ndomana aliyokuwa anafanya merey hata warabu wenzake
Walikuwa wanamshangaa

Ova
 
Yupo mlevi tu analewa sana Juliana pub na bar nyingine za Mbezi kule Target, Amsterdam, Jangwani Sea breeze etc..
 
Umeupiga mwingi
 
Ustadhi Juma Namusoma, huyu Hadi alikuwa meneja wa wasanii, Kuna mama Sakina Trans alimiliki bendi ya mashujaa na midaladala mingi hapa Ukraine town pia yupo jamaa anaitwa Respect Chief Kiumbe, huyu ata huko Kanda ya ziwa wanamfahamu vizuri
 
Hivi yule jamaa FM academia walikuwa wakimuimba wanamuita Askofu wa kwanza. Alikuwa ni nani na kwa nn alijiita askofu? alikuwa ni askofu kweli au alikuwa na uhusiano gani na kanisa
 
Jackpemba usani hajaanza leo
Alishawaliza watoto wa donbosco upanga akidai anawafanyia mpango
Wa kwenda nje si unajua wakat ule safari michongo ilikuwa upande wa scout na mambo ya summer camp
Jamaa alichikichia na hela za watu
Akasafiri yeye

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…