Tuwafahamu Watu Maarufu waliokuwa wanatajwa sana na Wanamuziki wa Band nchini Tanzania

Nlipiga San mishe hizo
Hahaha
Wahindi ndy walikuwa wateja wetu wakuu,alafu wahindi wenyewe wazito

Ova
 
Juma nyamiela alikufa pesa imekata,alikua mpka na mabasi
 
Huyu abdalah nyumba nyingi,yeye alikua na mishe gani
 
Lyatonga si ndy alituchomesha akawaribia wabongo viza UK
Entry
Bandika bandua watu walizipiga sana

Ova
Walioharibu entry viza UK ni Wazanzibar baada ya uchaguzi wa 1995 na Maalim Seif kuporwa ushindi wengi waliingia UK na kuomba political Asylum seeker kwa complain ya wafuasi wa CUF kunyanyaswa na CCM.

Ndio msingi wa Serikali ya Uingereza kutufutia entry na kuanza utaratibu wa kuomba viza ubalozini.

Wazungu wanachukia sana pesa za walipa kodi wao kuwalipa posho wakimbizi.

Na sasa hivi wanataka kukomesha kabisa ukiomba ukimbizi Uingereza unaoelekwa Rwanda, Kagame kashavuta mpunga.
 
Acha uongo. Hamed Bakayoko alikuwa waziri mkuu wa Ivory Coast hakuwa akiishi Paris.. pia tayari ni marehemu zaidi ya mwaka. Ushabiki wa vijiweni usilete hapa.
 
Wanamuziki wa Congo wanakwama wapi? Mbona wanaonekana wana hela ila bado wana ishu za kusifia sifia watu ovyo kama vile machawa?
 
Lemutuz ana akili nyingi ila inaonekana ana stress za kufika uzeeni bila kuwa na mali kulingana na hadhi ya familia yake pamoja na yeye kuishi marekani miaka 30
 
Acha uongo. Hamed Bakayoko alikuwa waziri mkuu wa Ivory Coast hakuwa akiishi Paris.. pia tayari ni marehemu zaidi ya mwaka. Ushabiki wa vijiweni usilete hapa.
Umekurupukia wapi unatoka chooni kukata kimba bila kuchamba?
Ungefuatilia mtiririko wa huu uzi usingeandika hizi pumba zako bwegge jinga kabisa.
 
Wanamuziki wa Congo wanakwama wapi? Mbona wanaonekana wana hela ila bado wana ishu za kusifia sifia watu ovyo kama vile machawa?
Wana pesa mno,magari aliyonayo koffi olomide, fally na JB mpiana wasanii wetu hawana,hao jamaa Wana ma Bentleys,Ferrari,rolls Royce, mtu Kama JB mpiana alikuwa na Mercedes Benz mwaka 1999 huko
Wafuatilie YouTube uone mijengo yao
 
Acha uongo. Hamed Bakayoko alikuwa waziri mkuu wa Ivory Coast hakuwa akiishi Paris.. pia tayari ni marehemu zaidi ya mwaka. Ushabiki wa vijiweni usilete hapa.
Usimpinge Sana huenda Bakayoko alikuwa na nyumba Paris, mtu Kama Mobutu alikuwa Rais wa Zaire wakati at the same time anaishi France,Belgium,uswizi,Monaco nk, hata wanae leo wanaishi Nchi mbili au tatu wakati mmoja mfano nzanga alikuwa waziri congo ila anaishi Congo,Washington na Rabat Morocco
 
huyu pedeshee ni waukweli kitambo sana.
nilianza kumsikia kwenye nyimbo za Kofii miaka ya tisini huko,Nyimbo kama Mico,,Kofi alikua akiimba anaanza na jina la Chaaaachoooo.
Usichanganye mambo. Tchatcho ni aina ya muziki uliobuniwa na Koffi enzi hizo. Akawa anaupromoti kwenye nyimbo zake. Ila Chacho anayeongelewa ni mtu kwa jina la Chacho Mbala.
 
Umemsahau Papaa Shabani Ngalawa (R.I.P). Huyu alikua mwalimu mzuri wa tution miaka ya 1995-2001 hizi za shule ya msingi. Miaka ambayo mtaa mzima unakuta waliofaulu la saba ni wawili au hakuna na katika hao waliofaulu wote walisoma tution kwa huyu mwalimu shabani..

Nakumbuka alichukuaga mkopo wa milioni 200 lengo likiwa kujenga shule yake binafsi maeneo ya kibamba. Akaweka rehani nyumba na shamba lake. Mwisho wa siku pesa zote zikaishia kuwatunza akina ally choki na mwinjuma muumini ktk mabendi na nyingine akanunulia toyota baloon. Benki ikaja ikapiga mnada nyumba na shamba wakamfilisi mazima.

Alitajwa sana kwenye nyimbo za Mwinjuma hasa ile ya Kilio cha Yatima. Alikuja kuugua mda mrefu na aliisha akawa kama mtoto. Amefariki akiwa hana hata pa kulala. Sad!
 
Wakina IDD JANGUO nilikuwa nawaskia sana ali choki akiwataja
Huyu alikua mtoto wa kigogo mbunge wa Kisarawe enzi hizo. Mdingi wake licha ya kua Mbunge alishawahi kua kiongozi mkubwa wa bandari ya DSM pale. Na ana mjengo mkali uingereza kuna baadhi ya wanawe wanaishi huko.. Mzee Janguo alikua na ukwasi saaaana..

Iddi Janguo alikua anamiliki limousine nyeusi ilisumbua saaana mjini wakati ule na alikua anaishi ktk jumba la ghorofa kule mitaa ya Jangwani seabreeze la mshua wake.. Alifanya fujo nyingi mjini wkt ule miaka ya 2005 kushuka chini.. Enzi nipo sekondary nilikuaga natamani nikiwa mkubwa niwe japo na nusu ya mkwanja aliokua nao.. Zile zama watoto wa vigogo walituvimbia sana. Naskia siku hizi yupo Kinondoni ametulia hana tena zile pesa kama wkt ule..

Na alikua anang'oa pisi kali sana. Unaukumbuka ule wimbo wa Dudubaya unaitwa Mashaka kuna mstari aliimba, "Warembo wazuri acheni kugombana, sina chaguo kama IDDI JANGUO, lakini kwa leo warembo nyongeni.. Atakaeshinda ntaondoka nae.. Mshike kiuno (uyoo) mlambe unyayo (uyoo) mshike mabega (uyoo) mkalie kwa juu!!!" [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…