Tuwafahamu Watu Maarufu waliokuwa wanatajwa sana na Wanamuziki wa Band nchini Tanzania

Pedeshee Chief kiumbe, papa misifa, papa mo,
Hao wote hamna kitu wote ni watu wa kuongeza 0
Hiuo mwingine sjui nani na m#m
Wote wezi tu wa ufunguo walikuwa
Mtu anaenda dubai utasema anaenda kufunga mzg,kmbe wez wa ufunguo,wanatumia kadi kuwaibia watu mahotelini
Mtu kutwa,kutunza hela kwenye bendi
Hapohapo mtoto wake anadaiwa ada nk,sasa hyo akili matope

Ova
 
Ndo nauona umenikumbusha mbaali Sana daahh
 
Pedeshee Jimmy Chocolate aliimbwa na marehemu Ndanda kasovo, uyu bwana alikua na mishe gani mtujuze watu wa uko Dar tujue sisi watu wa Bariadi tulikua na Pedeshee JOHN CHEYO, A.K.A MAPESA
Hakua na issue yoyote aliku anakaa kwao kota mpk anazeeka..
Nakumbuka alipigwa ridandasi nbc ela za mafao ndio akaweka heshima bar.
Shabiki kindakindaki wa wajelajela gwa
 
Kilivyoingia chuma pale Ikulu ndio ikawa mwisho wa hao watu. Huku ikisemekana walijipatia ukwasi nje ya mstari sahihi.

Na ndio ikawa mwisho wa mziki wa dance hapa nchini hadi sasa. Maana walitegemea udhamini wa hao watu.
Hapana! Mziki wa dansa ulikata kitambo sana.
 
Fomu za kuomba viza kina Mtambo si ndio dili yao kuwajazia watu?
Kuna vitu vingine ni ipuuzi mtupu, mimo nilikuwa na Boss wangu mzungu alikuwa hakai Tanzania zaidi ya wiki mbili, kwahiyo kiswahili chake ni Jambo jambo na kuibia maneno machache, lakini baada ya baba yake kuwa mtu mzima sana alimpa kuw Rais wa makampuni yao cheo ambacho kitamlazimu awe anakaa Tanzania muda mwingi hivyo akaniomba nimtamfutie mwalimu wa kiswahili alikuwa anatenga mud ofisini anakuja kumfundisha.

My point mtu kuwa na exposure mpaka mamtoni halafu hujui kusoma na kuandika sasa hata vile vikadi airport akujazie nani? driving license amepataje US? au ndio zile za Wanubi? Too good to be true.
 
Ben Mulokozi....?
Salim Chicago Matelefone...?
?/
Kizaizai....?
Omary Tolu...?
Abduli Tolu...?
Joshua Limited...?
Muddy Nyamalonda mzee wa Pamba Kali...
?
China wa China...?
Shaibu Mapajero....?
Moris Mariaga Rais wa Sinza...?
Ntenze wa Ntenze....?
Haji Mbabe...?
 
Kuna mwingine very smart ila ukimuandikia message lazima akupigie.Jamaa wakanisanua hajui kusoma.
 
Umenikumbusha kwenye nyimbo nyingi za marehemu Madilu System, amemtaja sana Pedeshee Emmanule Sammuele.... Mpaka Kuna wimbo nadhani unaitwa hivyo... Naupenda sana wimbo huu.....
 
Tunamkumbuka kama Shujaa wetu na mtu mwenye mapenzi ya kweli na kisarawe alikuwa mkurugenzi wa Bandarini ila Faida yake mpk Leo baadhi vizazi bado ipo sio yule bwana waziri anafaida yeyote zaidi ya kuongeza wake... Tunamsubiri kwa Hamu 2025...
Hahahahaaa... Mkuu, nasikiasikia...
 
Huwezi amini kaka ake ni fundi viatu vibovu na ndala zilizokatika
Watu tunajisahau sahau sana hatukumbuki kama kuna kesho ni starehe tu kwenda mbele wengine ukiwa na pesa hukumbuki hata ndugu zako,kwa jamii ya kiafika kusaidia ndugu zako ndio uwekezaji mkubwa,naamini kama madinda angekuwa amewasaidia ndugu zake angalau angekuwepo mmoja wa kumtupia angalau wekundu wa msimbazi mara kwa mara, usiposaidia ikifika kesho wote mnakwama na kurudi kulekule mlikokuwa kabla ya kupata ngekewa ya kutembelewa na vijisenti, wapi Madinda, Madinda(kwa sauti yake) we fala(mhudumu) peleka pale krate haraka,hah haha haya maisha we acha tu.
 
Ukiwa na moyo wa kusaidia ndugu wewe wasaidie tu lakini usitegemee kama watakumbuka fadhira
 
Umenikumbusha kwenye nyimbo nyingi za marehemu Madilu System, amemtaja sana Pedeshee Emmanule Sammuele.... Mpaka Kuna wimbo nadhani unaitwa hivyo... Naupenda sana wimbo huu.....
kuna rhumba moja kali sana ya madilu system inaitwa vice versa.

ktk verse ya kwanza ya track hiyo, madilu anataja jina la Teodoro Obiang Nguema. huyu ni mtoto wa rais wa equatorial guinea, mzee Teodoro Obiang Nguema Mbasogo.

Teodoro au maarufu teddynguema kama anavyofahamika kwenye social media, kwa sasa ni makamu wa rais wa taifa hilo.

maisha anayoishi huyu teddy yanaakisi kwa kiwango kikubwa maisha halisi ya kipedeshee, ana pesa nyingi sana za kula bata.

anasafari maeneo mbalimbali duniani ktk kujipa raha na huwa hafichi kitu, picha zake za kula bata huwa anaziweka kwenye kurasa zake za social media.

baba yake yupo ktk orodha ya marais ambao wapo madarakani kwa mda mrefu duniani. yeye na baba yake wanaitawala equatorial guinea kwa mkono wa chuma kweli kweli.

Vice versa | Boomplay Music



Your browser is not able to display this video.
Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…