Tuwafahamu Watu Maarufu waliokuwa wanatajwa sana na Wanamuziki wa Band nchini Tanzania

Wengi wao ni jamaa flan hivi ukijichanganya tu kwao imeisha, niishie hapo.
 
sina hakika na chanzo cha taarifa hii. ila kama ni kweli, huu ndio utakuwa mwisho wa kulisikia jina la eric mandala kwenye ngoma zijazo za fally ipupa, ferre gora na wengineo.

Eric Mandala Kinzenga, famous Congolese businessman, arrested in Madrid with 200 kilos of cocaine: a crackdown by the DEA and Udyco

The Congolese patron and businessman, was arrested in possession of 200 kilos of cocaine hidden in a van parked in the parking lot of a shopping center. The cargo, coming from Ecuador and transiting through the port of Algeciras, was destined for Morocco.

The operation, carried out by the DEA and Udyco, follows an investigation lasting several months launched in August 2024. Mandala, already under surveillance, was arrested in the company of a Colombian woman, in possession of more than $50,000 in cash. In 2020, he acquired a sumptuous apartment at the Burj Khalifa for 1.85 million euros.

He is now spending his second night in prison in Madrid, while investigations continue.

source: www.jabulaniradio.com
 

Attachments

  • IMG-20250125-WA0006.jpg
    57.2 KB · Views: 5
Boss… Erick Mandala,The one and only (Ngiri, ngiri ngiri).
ndio hivyo tena, pedeshee erick mandala kayakanyaga,
mbaya zaidi kayakanyaga kwa polisi wa kizungu.

ingekuwa kakamatiwa kwenye hivi vinchi maskini vya kiafrika, ingekuwa rahisi kuchezesha mchezo, mambo yasingekuwa mengi.
 
ndio hivyo tena, pedeshee erick mandala kayakanyaga,
mbaya zaidi kayakanyaga kwa polisi wa kizungu.

ingekuwa kakamatiwa kwenye hivi vinchi maskini vya kiafrika, ingekuwa rahisi kuchezesha mchezo, mambo yasingekuwa mengi.

Kweli angekamatiwa Africa angetoa hizo dola elfu 60 alizokamatwa nazo kama hongo ili atoke ila NGOZI nyeupe atajua hajui.
 
Yes Eric Mandala wamemnasa Spain Madrid akiwa ameegesha gari kwenye business parking slots, ndani ya gari walimnasa na kilo 200 cocaine pamoja na $50000 sawa na Tsh.. bil 127.
Inasemekana walianza fuatilia hii ishu tangu August 2024 baada ya contena kuvuka kwenda morocco.

Ebwana eeeh wajina kabisa.
 
Kuna yule alichapagwa risasi na wenzake watatu akiwemo mwanamke katika tukio la ujambazi nanenane morogoro nadhani 2003 to 2004,baadhi ya mapeshee walikuwa majambazi na wauza bwimbwi
 
Bora angekomaa tu na biashara ya madini/ dhahabu kama wenzake, kwenye madini hata kama utaweka uhuni uhuni ni rahisi kusolve ila huku kwenye drugs tena kwa wazungu ebanaeee ni kisanga
 
Bora angekomaa tu na biashara ya madini/ dhahabu kama wenzake, kwenye madini hata kama utaweka uhuni uhuni ni rahisi kusolve ila huku kwenye drugs tena kwa wazungu ebanaeee ni kisanga
Balaa zito hili.....ila sio mbaya kala maisha....
 
Kuna yule alichapagwa risasi na wenzake watatu akiwemo mwanamke katika tukio la ujambazi nanenane morogoro nadhani 2003 to 2004,baadhi ya mapeshee walikuwa majambazi na wauza bwimbwi
Juma Benatos JB alikuwa mmiliki wa bendi ya Extra bongo
 
hakuna show ya fally ipupa iliyowahi kubamba hapa east africa kama hii ya dar iliyofanyika 2009 chini ya uandalizi na usimamizi wa dada yetu jasmine razack.

kuna kipindi alikuwa bega kwa bega na feisal salum wakati wa sakata lake na club ya yanga. nadhani ni mmoja wa wasimamizi wake wa mikataba.

kuna wimbo mmoja wa fally ipupa katika album yake ya formule 7 ujulikanao kwa title ya MH, kamtaja 'jasmine le tanzanien'.
 

Attachments

  • IMG_20250225_180623.jpg
    94 KB · Views: 2
  • TikTok_7474686090897542422.mp4
    3.8 MB
Kweli angekamatiwa Africa angetoa hizo dola elfu 60 alizokamatwa nazo kama hongo ili atoke ila NGOZI nyeupe atajua hajui.
Mzungu kukufatilia yuko radhi achukue hata miaka 2 ila akikumqliza jua huchomoki maana wanakuwa na nushaidi wa kutosha

Ova
 
Mzungu kukufatilia yuko radhi achukue hata miaka 2 ila akikumqliza jua huchomoki maana wanakuwa na nushaidi wa kutosha

Ova

Kweli ,huyo mandala apigwe mvua za maisha ,kaharibu na kutia umasikini vijana wengi.

Nilikuwa naangalia taarifa ya habari Azam kuna mfanyabiashara account yake ilifika hadi milioni 900 huku bizness ikirun ,kwasasa huyo mfanyabishara amehifadhiwa kwenye chumba kimoja kwenye nyumba ya aliyekuwa dereva wake. ,fedha imeisha yote coz ya "ngada" alikuwa anatumia.
 
Hawa wasanii wao kusifiasifia kutaja watu tu...wengi magumashi
Nmekumbuka enzi zile za twanga pale mango..... wana vuma mm mwenyewe nlikuwa mdau sana wa ile bendi πŸ˜„
Sasa kuna siku show yao pale inapigwa mara akaingia jamaa mmoja alikuwa maarufu kino na mtu wa ngada..jamaa kuingia tu na team twanga wakamrusha....jina πŸ˜„ jamaa wacha amind ilibd awafate jamaa wa bendi akataka kuwaletea uzushi.... πŸ˜„ ila jamaa naye alishapotea kwenye game choka

Ova
 
Hii biashara ina laana mkuu
Lazima itakurudia
Mchimba kisima kaingia mwenyewe

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…