Tuwafukue mastaa tunaoishi nao mitaani


hua anasumbua sana Dk. shika magazeti yangu
 
Huwa nikienda kusali parokiani pale makuburi huwa nampita pale kwa mpemba mara kibao
 
Njoo Highbury hapa unywe Heinkein
 
Mi nipo huku mitaa ya Ferry. Celebrity jirani yangu wote mnamjua, sitaki mkutaja jina yakanikuta kama Mheshimiwa Sugu.
 
Kiba na mdogo wake mara kwa mara tunachezaga nao hapa viwanja vya sigara. Nlichogundua ni kwamba kingkiba ni mtu simple saana. Anaogopa na kuheshimu watu.

Bigup king
 
na ndio mitaa hiyo ya kina lulu nandy na ukishuka kidogo kimanga kuna mr blue na dully
 
Downtown Manhattan namuonaga Mange Morning anauza magazeti. ..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…