We waorozeshe tu mkuu, nao ni watu muhimu. [emoji23] [emoji23]Huu uzi unawafaa watu wa Dar sana sisi huku Sumbawanga kuna staa wa kutambika na kutengeneza Radi...
Mb dog kama hajahama.Hivi mabibo kuna msanii kweli? Hebu ngoja nichunguze.
Kwani si alishasema kuwa hapo atapageuza Hoteli baada ya kuhamia Dom. Bado tu?Mi nipo huku mitaa ya Ferry. Celebrity jirani yangu wote mnamjua, sitaki mkutaja jina yakanikuta kama Mheshimiwa Sugu.
Kweli sio cerebalafu kitu kingine we utakuw kichaa docta shika sio cereb
Mwanaume unaogopaje jela bhana?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mi nipo huku mitaa ya Ferry. Celebrity jirani yangu wote mnamjua, sitaki mkutaja jina yakanikuta kama Mheshimiwa Sugu.
[emoji23][emoji23] hao pia mastaaHuu uzi unawafaa watu wa Dar sana sisi huku Sumbawanga kuna staa wa kutambika na kutengeneza Radi...
Magomen sana weweJamani huyo mkubwa fela si anakaa kilungule na mke wake sweetfela au amehama .....basi sina habariiii.
Mm MTU wa kuhamahama nilowahi kukakaa mtaa mmoja na yussuph mlela,nikaamia mtaaa mwingine skiner huniz ,Bob junior ,mayasa bila kumsahau kubwa LA maadui bi Hindu ..sasa hapa nilippnea chupu chupu kupanga kwenye nyumbani yake nilivyomjua mwenye nyumbani yeye niliondoka bila kuaga sio kwa mdomo ule bila kumsahau mayacele.
Mtaa mwingine niikaa mtaa mmoja na mzee yusuph kwa mkewe aliyrbaki.
Mwingine mtaa mmoja na Cathy lupia,ni hao tu
Hata mm ni star pia ....ila nisiyejulikana
Nipo mkuu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] jamaa kapotea sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Siongelei huyu Ndugu lusulukuchu wa JF. Naongelea yule mbongo fleva. Unless uwe ni ww mwenyewe.Nipo mkuu
Wewe kweli ni ceREb, ila ungekuwa celeb tungekufahamu.hahaaha huku kwetu cereb ni mimi tu nahuwa natumia gari tinted sitak mazoea