kanali mstaafu
JF-Expert Member
- May 17, 2015
- 4,318
- 4,105
Nikiwa nimekaa zangu nacheki game ya simba mara nikamuona Dr. Shika akikatiza huku akionekana yuko kihome-home zaid. Nikaanza kuwaza jinsi ambavyo hawa mastaa wanavyojificha kiasi kwamba anaweza kuwa jirani yako na usijue. Leo mm nawaanika ninaoishi nao mitaa ya huku Tabata na vitongoji vyake
Christian Bella
Ali kiba
Vannesa mdee
Hafsa kazinja(huyu ni mwanafunz wangu nimewahi kumfundisha wakati anasoma)
Mr Blue
Mtanga (comedian)
Tundaman
Rich mavoco
Banana Zorro
Masanja mkandamizaji
Madee
Rayvany
Nandy
Mchizi mox(huyu jamaa anabet sana)
Lulu(sasa yuko nyuma ya nondo)
Aslay
Msaga sumu
Bahati Bukuku
Mbasha
Sheddy clever
Stamina
Mkubwa Fella
Dogo janja
Na mkuu wa majeshi ya ulinzi tunaye huku ndiye hutupunguzia hata foleni asubuhi tuendapo makazini.
Taja mtaa na celebrity waliokuzunguka lengo ni kujua walipo ili watu wanaotaka kufanya nao kazi au kuwataka kwa miadi mingine wawapate.
Christian Bella
Ali kiba
Vannesa mdee
Hafsa kazinja(huyu ni mwanafunz wangu nimewahi kumfundisha wakati anasoma)
Mr Blue
Mtanga (comedian)
Tundaman
Rich mavoco
Banana Zorro
Masanja mkandamizaji
Madee
Rayvany
Nandy
Mchizi mox(huyu jamaa anabet sana)
Lulu(sasa yuko nyuma ya nondo)
Aslay
Msaga sumu
Bahati Bukuku
Mbasha
Sheddy clever
Stamina
Mkubwa Fella
Dogo janja
Na mkuu wa majeshi ya ulinzi tunaye huku ndiye hutupunguzia hata foleni asubuhi tuendapo makazini.
Taja mtaa na celebrity waliokuzunguka lengo ni kujua walipo ili watu wanaotaka kufanya nao kazi au kuwataka kwa miadi mingine wawapate.