Tuwaige Chuo Kikuu cha Makerere tufute digrii courses zisizokuwa na maana

Tuwaige Chuo Kikuu cha Makerere tufute digrii courses zisizokuwa na maana

Computer science na engineering in computer engineering hizi zina umuhimu kwa ukimwengu wa sasa sema tu Tanzania bado kama vile mazingira yoa sio mazuri

Nazo kama vile ingefaa wazionganishe tu iwe moja kama inawezekana
Sijasema hazina umuhimu ila hapa TZ ni kupoteza muda na rasilimali kuwa na wahandisi wa komputer. Kazi wanazofanya hapa TZ hata veta anafanya.
CS ndio ipewe kuipaumbele kwa sababu tuna mifumo mingi inayowahita.Tanzania haitaji wataalamu wa kudesign hardware na huo uwezo haupo, sana sana wanaishia kukarabati komlouta zilizokufa hakuna cha zaidi kama kipo nijulishe.
Electrical and electronics engineer anaweza kufanya mambo ya mhandiasi wa komputa.
 
Nadhani wangeulizwa watu waliosoma hizo course maana wanaweza kutoa picha halisi kuliko mawazo ya watu ambao hawajazisoma wala kuona ubora au ubovu wake kwenye maisha yao ya kawaida
 
Kuna digrii ambazo hazina maana yoyote kwa wakati wa sasa.

Chuo kikuu cha Makerere kimefuta degree courses zifuatazo

Scrapped courses
Bachelor of Science in Horticulture
Bachelor of Science in Human Nutrition
Bachelor of Science in Meteorology
Bachelor of Science in Wildlife Health and Mgt.
Bachelor of Adult and Community Education
Bachelor of Agricultural Extension Education
Bachelor of Arts in Development Economics
Bachelor of Community Psychology
Bachelor of Development Studies
Bachelor of Industrial and Organizational Psychology
Bachelor of Science in Business Statistics
Bachelor of Science in Conservation Biology
Bachelor of Science in Telecommunication Engineering
Bachelor of Science in Quantitative Economics
Bachelor of Agricultural and Rural Innovation
Bachelor of Library and Information Sciences.
Bachelor of Archives and Record Management
Bachelor of Science and Constructive Management
Bachelor of Computer Engineering.
Sababu yao kubwa ya kufuta hizo fani, wanadai ni..

Ni kuwapa staffs muda zaidi wa kufanya Tafiti.
Maana muda mwingi walikuwa wanatumia kufundisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni hivi hata fizikia tu inaweza beba kozi za computer engineer Kama watunzi wa mtaala wataacha kukopi hovyo kutoka ulaya. Mfizikia anaweza kuwa comlomete package, ndio maana wenzetu .mfizikia nduio yupo maabara kutafiti quantum computer huku kwetu mfizikia ni mwalimu tu kushne!
Au computer engineering iwe post graduate course kwa fani zote za sayansi.
 
Huwezi kufuta Bachelor Degree in Human Resource Management. Labda uwe hujui umuhimu wake.
kwann zisiunganishe ikawa moja
  • Bachelor degree in gender and community development
  • bachelor degree in community development
  • bachelor degree in adult education and community development
  • bachelor in social work
  • Bachelor of art in community development


2. Human resource
  • Bachelor in human resource, planning and management
  • Bachelor degree in human resource management.
  • Bachelor degree in labour relations and public management
 
Kuna digrii ambazo hazina maana yoyote kwa wakati wa sasa.

Chuo kikuu cha Makerere kimefuta degree courses zifuatazo

Scrapped courses
Bachelor of Science in Horticulture
Bachelor of Science in Human Nutrition
Bachelor of Science in Meteorology
Bachelor of Science in Wildlife Health and Mgt.
Bachelor of Adult and Community Education
Bachelor of Agricultural Extension Education
Bachelor of Arts in Development Economics
Bachelor of Community Psychology
Bachelor of Development Studies
Bachelor of Industrial and Organizational Psychology
Bachelor of Science in Business Statistics
Bachelor of Science in Conservation Biology
Bachelor of Science in Telecommunication Engineering
Bachelor of Science in Quantitative Economics
Bachelor of Agricultural and Rural Innovation
Bachelor of Library and Information Sciences.
Bachelor of Archives and Record Management
Bachelor of Science and Constructive Management
Bachelor of Computer Engineering.
Unaposema wamefuta unapotosha ndugu yangu.
Hapo wameziunganisha zile zinazoendana.

Mfano Bsc in Telecom na Bsc in Comp Eng wameziunganisha na kutoa Bsc in computer and communication eng.

Hizo za community development the same.

Za HR the same.....

Ni kuwa wamepunguza namba za courses tu na nia yao kubwa ni kutanua wigo wa uelewa kwa wanafunzi na ajira za kuajiriwa au kujiajiri ......

Mimi nawapa KUDOS
 
kwann zisiunganishe ikawa moja
  • Bachelor degree in gender and community development
  • bachelor degree in community development
  • bachelor degree in adult education and community development
  • bachelor in social work
  • Bachelor of art in community development


2. Human resource
  • Bachelor in human resource, planning and management
  • Bachelor degree in human resource management.
  • Bachelor degree in labour relations and public management

Mkuu, kuunganisha kozi zenye kuendana ni jambo jema. Hapa naungana na wewe. Mawazo mazuri.
Nilikua napata taabu na wazo la kufuta (bila kuwa na namna mbadala)
 
kwann zisiunganishe ikawa moja
  • Bachelor degree in gender and community development
  • bachelor degree in community development
  • bachelor degree in adult education and community development
  • bachelor in social work
  • Bachelor of art in community development


2. Human resource
  • Bachelor in human resource, planning and management
  • Bachelor degree in human resource management.
  • Bachelor degree in labour relations and public management
Ndio hicho walichokifanya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wamesema hiyo computer Engineering wataisoma kwenye Electrical Engineering

Sent using Jamii Forums mobile app

Kwahiyo actually kilichofanyika ni kuunganisha kozi zinazoshabihiana ndio imepelekea kufutwa kwa hizo kozi si ndio.

Uzi umekuja kwa namna ya jumla jumla sana.
Yaani eti ''Makerere wafuta kozi zisizo na tija, na ni hizi zifuatazo''.... Computer Engineering ipo...
Kaaah....
nisingeweza kukielewa hicho chuo.
 
Bachelor of sociology iwe ya kwanza

Bachelor of development studies

Hayo makozi hata anaeyesomea hajui akitoka hapo anaenda kuwa Nani[emoji1787][emoji1787]
 
Kwahiyo actually kilichofanyika ni kuunganisha kozi zinazoshabihiana ndio imepelekea kufutwa kwa hizo kozi si ndio.

Uzi umekuja kwa namna ya jumla jumla sana.
Yaani eti ''Makerere wafuta kozi zisizo na tija, na ni hizi zifuatazo''.... Computer Engineering ipo...
Kaaah....
nisingeweza kukielewa hicho chuo.
Mleta Uzi ameleta habari Nusu, mwisho wa siku amechanganya watu.

Ila ndio hivyo zimeunganishwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom