Tuwaige Chuo Kikuu cha Makerere tufute digrii courses zisizokuwa na maana

Tuwaige Chuo Kikuu cha Makerere tufute digrii courses zisizokuwa na maana

Kwa uzoefu waTanzania ,ipo kila haja ya kufuta kosi za PHD. PHD za Tanzania balaaa ,ma phd yametuangusha sana.
Kufuta PHD ni sawa Mkuu kwa mujibu wako kwakuwa ni balaaa! Lakini unafahamu kuwa Kuna tofauti Kati ya PHD na PhD?
 
Mwalimu Nyerere kuna Course inaitwa MSD yani bachelor in Management and Social Development, Utopolo mtupu afu mambo ya kusema Computer eng imefutwa sio kweli bali wame merge Computer na Telecom na kitoa course moja ni wazo zuri mana nowadays telecom haisimami yenyewe tena
 
Mwalimu Nyerere kuna Course inaitwa MSD yani bachelor in Management and Social Development, Utopolo mtupu afu mambo ya kusema Computer eng imefutwa sio kweli bali wame merge Computer na Telecom na kitoa course moja ni wazo zuri mana nowadays telecom haisimami yenyewe tena
Hiyo course ya MSD ifutwe haraka maana hata career progression yake haieleweki
 
Halafu kuna ambazo zipo sua hapo yaani nashindwa kuelewa


Bachelor of science in horticulture
Bachelor of science agriculture in general
Bachelor of science in agriculture extension

Sasa si bora wafute ya juu maana kilimo cha mboga mboga (horticulture) Bado kitaingia kwenye kilimo in general na agriculture extension officer si anaweza kuwa hata aliesoma in general


Bachelor of science in wood technology and value addition
Bachelor of science in forestry


Sasa hapo hao Forester si ndo wanasoma wood science sasa kulikuwa kuna ulazima wa kuwa na wood technology

Bachelor of science in human nutrition
Bachelor of science in family consumer

Sasa hapo family consumer inaweza ingia kwenye human nutrition
 
Halafu kuna ambazo zipo sua hapo yaani nashindwa kuelewa


Bachelor of science in horticulture
Bachelor of science agriculture in general
Bachelor of science in agriculture extension

Sasa si bora wafute ya juu maana kilimo cha mboga mboga (horticulture) Bado kitaingia kwenye kilimo in general na agriculture extension officer si anaweza kuwa hata aliesoma in general


Bachelor of science in wood technology and value addition
Bachelor of science in forestry


Sasa hapo hao Forester si ndo wanasoma wood science sasa kulikuwa kuna ulazima wa kuwa na wood technology

Bachelor of science in human nutrition
Bachelor of science in family consumer

Sasa hapo family consumer inaweza ingia kwenye human nutrition
Hiyo family consumer ndio inahusiana na vitu gan?
 
Computer science na engineering in computer engineering hizi zina umuhimu kwa ukimwengu wa sasa sema tu Tanzania bado kama vile mazingira yoa sio mazuri

Nazo kama vile ingefaa wazionganishe tu iwe moja kama inawezekana
Kuziunganisha kutatoa kitu cha ajabu sana
 
Kuna degree ya ufugaji wa nyuki ingekuwa ya kwanza kufutwa hapa.
Sasa unamsoma nyuki ili iweje aise? Naona wamefuta kozi kadhaa ambazo zinapatikana chuo cha kilimo sokoine ila kile chuo kina kozi za ajabu mno.

Waangalie namna wazifute pia maana hazina tija kwa taifa.
 
Unataka kusema uzalishaji wa asali pamoja na biashara yake (yakiwemo mauzo ya nje) hayana faida kwa nchi na wananchi mkuu ?

nyboma
 
Unataka kusema uzalishaji wa asali pamoja na biashara yake (yakiwemo mauzo ya nje) hayana faida kwa nchi na wananchi mkuu ?

nyboma
Nioneshe figure mkuu, sisi kama Tanzania tume export lita ngapi za asali na fedha za kigeni tulizoingiza baada ya kuuza asali?
 
Nioneshe figure mkuu, sisi kama Tanzania tume export lita ngapi za asali na fedha za kigeni tulizoingiza baada ya kuuza asali?
Hizo figures wanazo TANTRADE na TFS, ila nimeuliza hivyo kwa sababu mimi niko kwenye sekta ya asali na inatengeneza fedha nyingi sana kupeleka Saudia Arabia, Yemen, Kuwait bila kusahau katika soko la ndani.

Pengine wewe una hoja nzuri zaidi za kuonyesha kwamba sekta ya asali ni mzigo kwa taifa.

Kwa maoni yangu naona bado tuna wataalam wachache sana kwenye hiyo sekta.

Nimelishangaa sana pendekezo lako la kufuta programu zinazoandaa wataalam wa nyuki.
 
Back
Top Bottom