Polisi wanatuchukulia poa sana. Hawajui waajiri wao ni sisi.
Catherine Ruge anaeleweka vyema kuwa suala la kuzika halipo na halitakuwapo.
"Ingekuwa muafaka zaidi polisi kufahamishwa kuwarejesha watuhumiwa hai kama walivyowachukua."
Haiwezekani wajue kuuwa tu na si kurudisha uhai walioutoa kwa makusudi!
Ninakazia, wasije wakathubutu kwetu. Kwani kwa hakika patachimbika wala hakitakuwa cha mtoto.
Kwamba walimchukua mzima? Ninakwenda vipi kulipa gharama zipi za "monchwari" (kama anavyokuita Abdul Nondo)? Monchwari ipi hiyo kwanza? Ninalipa vipi nauli ya polisi yupi?
NInamzika vipi marehemu aliyeuwawa na polisi kwenye mazingira haya?
Kwanini hatuwashauri wahanga kukomaa na polisi kuwarejeshea ndugu zao wakiwa hai?
Kwa nini badala yake tunageuka kuwa waandishi wa habari? Au ni yale ya kujitafutia mileage tu?
Nini mchango wetu kuona ubazazi huu kutoka kwa watu tuliowaajiri unakoma taslimu (forth with) sasa?
Catherine Ruge anaeleweka vyema kuwa suala la kuzika halipo na halitakuwapo.
"Ingekuwa muafaka zaidi polisi kufahamishwa kuwarejesha watuhumiwa hai kama walivyowachukua."
Haiwezekani wajue kuuwa tu na si kurudisha uhai walioutoa kwa makusudi!
Ninakazia, wasije wakathubutu kwetu. Kwani kwa hakika patachimbika wala hakitakuwa cha mtoto.
Kwamba walimchukua mzima? Ninakwenda vipi kulipa gharama zipi za "monchwari" (kama anavyokuita Abdul Nondo)? Monchwari ipi hiyo kwanza? Ninalipa vipi nauli ya polisi yupi?
NInamzika vipi marehemu aliyeuwawa na polisi kwenye mazingira haya?
Kwanini hatuwashauri wahanga kukomaa na polisi kuwarejeshea ndugu zao wakiwa hai?
Kwa nini badala yake tunageuka kuwa waandishi wa habari? Au ni yale ya kujitafutia mileage tu?
Nini mchango wetu kuona ubazazi huu kutoka kwa watu tuliowaajiri unakoma taslimu (forth with) sasa?