Tukiwakumbuka itatusaidia nini..??uhuru uliletwa na tanu kwa uongozi madhubuti wa Mwalimu JK.Nyerere hilo ndilo tunalolijua kama watanzania.
Usitake hadi wapika kahawa nao wakumbukwe...kisa tu walipika kawaha kijiwe alichokua anaenda kupiga story JKN.
#MaendeleoHayanaChama