Son of Alaska
JF-Expert Member
- Jun 2, 2008
- 2,812
- 1,061
sadly though Faraji Katalambula has just passed awayEuphrace Kezilahabi
1. Roza Mistika
2. Dunia Uwanja wa Fujo
Faraji Katalambula
1. Simu ya Kifo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sadly though Faraji Katalambula has just passed awayEuphrace Kezilahabi
1. Roza Mistika
2. Dunia Uwanja wa Fujo
Faraji Katalambula
1. Simu ya Kifo
Bila shaka unamkumbuka Mzee Ole na Kibibi Gagula hapa.
Vitabu ambavyo viko katika hazina yangu. TUTARUDI NA ROHO ZETU?, ROHO YA PAKA, SALAMU TOKA KUZIMU, MALAIKA WA SHETANI, PESA ZAKO ZINANUKA, LAZIMA UFE JORAM, DIMBWI LA DAMU vya BEN MTOBWA..NJAMA, KIKOMO, KIKOSI CHA KISASI vya ELVIS MUSIBA pia ninacho MASHIMO YA MFALME SULEIMAN. Na KIJASHO CHEMBAMBA, JOGOO LA SHAMBA NA MSAKO WA HAYANI vya EDIE GANZEL. Watunzi wote wazuri wamesha fariki.
riwaya nyingine nzuri iliandikwa na Kezilahabi iliitwa kaptula la Max, ila baadae kilifungiwa kitabu kile na serikali. Kwa sababu kilimponda sana babu enzi hizo
Ni tamthiliya, muhusika wake mkuu kuna sehemu anasema alishaanza kuiona EGALITE