Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzimu wa Watu wa Kale, Kisiwa cha Giningi, Duniani Kuna Watu, Siri ya Sifuri, Mke Mmoja Watume Watatu, Mwana wa Yungi Hulewa, By Muhammed Said Abdulla
Bila kusahau vitabu vya ushairi kama:
-AKILIMALI snow white
-SAADAN KANDORO
Dadi Athumani katunga vitabu vitamu kama 1. MAPUTO 2. OPERESHENI VIPUSA. Msisahau vitabu kama: Mirathi ya Hatari, Njozi Iliyopotea,Pandu, Akuanzae Mmalize, Mbigili Tupu,Bwana na Bibi Myombekere, Kamlete,Akibisha Mlipue, Mashimo ya Mfalme Suleiman, Najisikia kuua tena, Mashetani, Nchi ya Wazuvendi, Miradi Bubu ya Wazalendo, Janga sugu la Wazawa, Harusi, Asali Chungu,Sitaki Sijavunja ungo, Kuli, Kasri la Mwinyi Fuadi, n.k.
Wakuu, kuna kitabu nilisoma nikiwa std 3 miaka hiyo ya 80, kinaitwa NTEKO VANO MAPUTO ingawa sikukimaliza. Natamani nikitafute. Mtunzi alikuwa nani jamani?
Enzi zetu Sekondari za private hazikuwa deal kabisa kama hukufaulu kwenda shule ya Serikali ulilazimika wazazi wafoji ili urudie, siku hizi sekondari za private zinatafutwa kwa mamilioni!
Nashangaa eti siku hizi mtu anafaulu mtihani std 7 hajui kusoma wala kuandika. Watoto wa siku hizi wana bahati!
Wadau, siku hizi moyo wa kusoma vitabu vya aina zote-vya Taaluma na Riwaya umepungua sana na imepelekea Watunzi wa Riwaya kutoandika tena vitabu. Leo nawakumbuka baadhi ya Waandishi/ Watunzi wa Riwaya wa Tanzania.
Hamie Rajab
1. Miujiza ya Mlima Kolelo
2. Dunia Hadaa
S.M.Bawji
1. Usiku wa Blaa
2. Kisiwa cha Mayuku
Pepo Za Mabwege
Adili Na Nduguze
Mrithi Wa Baba Ana Radhi
Mashimo Ya Mfalme Sulemani
Kaptura La Max
Pesa Zako Zinanuka
Duka La Kava
Karibu Ndani
Siri Ya Sufuri
Mzimu Wa Watu Wa Kale
Kisima Cha Giningi
Funke Bugebuge
Rosa Mistika
Kuli