Tuwakumbuke waandishi wetu wa Riwaya

Mkuu salama? Mkuu mmi ni ngonjwa wako maana wewe una dawa ya ugonjwa wangu. VITABU ambavyo unawaza kupata sasa ili nikumbushie enzi jamani plse help
 
Mzimu wa Watu wa Kale, Kisiwa cha Giningi, Duniani Kuna Watu, Siri ya Sifuri, Mke Mmoja Watume Watatu, Mwana wa Yungi Hulewa, By Muhammed Said Abdulla

Mwana jamvi hicho ni "Kisima cha ginigi" nakirafuta sana nijikumbushe nilikisoma 90-91....sijui nitakipata wapi?
 
Bila kusahau vitabu vya ushairi kama:
-AKILIMALI snow white
-SAADAN KANDORO

Unanikumbusha malumbano ya babu yangu marehemu Mkadaru na mzee Mandevu Hamduni "Tandiboi amezidi"....hapa walikuwa mabingwa wa ushairi na kughani
 

Kwa babu yangu Dadi.....mambo ya Nnteko Vano, na "sitaki sijavunja"...ha ha haa jomba likashikwa eti hilo ziwa au chuchu angalia la shangazi lako moja lapata nanasi.....hii haifutiki abadan!
 

Mtunzi ni Dadi Athumani, kitabu "Operesheni Vipusa"
 
Mtunzi ni Dadi Athumani, kitabu "Operesheni Vipusa"

Asante Mkuu, enzi tamu sana zile, sijui kama kitabu hiki ki aweza kupatikana nyakati hizi maana hakikuwa maarufu sana kama vitabu vya Allan Qutarman na vile vya Elvis Musiba.
 
Kuna kitabu kinaitwa MBUTOLWE MWANA WA UMMA kiliandikwa na Murray William Kanyama Chiume-1973 nlikua nakipenda sana
 
Kati ya vitabu vyote vilivyotajwa kuna hiki hakijatajwa cha "wauza madawa ya kulevya hunyongewa hapa" sijui mwandishi ni Ganzel na hiki cha ukombozi wa kusi..dah nilivipenda japo kurasa zingine zilikuwa zimepotea.
 
Kuna vitabu kama
Hatia
Utengano
Harusi
Kichwa maji
Kuli
Kiu ya haki .... Vipo vingi mno ila sijui waandishi teh
 
Pepo Za Mabwege
Adili Na Nduguze
Mrithi Wa Baba Ana Radhi
Mashimo Ya Mfalme Sulemani
Kaptura La Max
Pesa Zako Zinanuka
Duka La Kava
Karibu Ndani
Siri Ya Sufuri
Mzimu Wa Watu Wa Kale
Kisima Cha Giningi
Funke Bugebuge
Rosa Mistika
Kuli
 
TUTARUDI NA ROHO ZETU , PESA ZAKO ZINANUKA, DAR ES SALAAM USIKU ,SIMU YA KIFO nk mwandishi BEN R MTOBWA
 

Hamie Rajab_sanda ya jambazi, kamlete akibisha mlipue , gubu la wifi nk.
 
Pepo Za Mabwege
Adili Na Nduguze
Mrithi Wa Baba Ana Radhi
Mashimo Ya Mfalme Sulemani
Kaptura La Max
Pesa Zako Zinanuka
Duka La Kava
Karibu Ndani
Siri Ya Sufuri
Mzimu Wa Watu Wa Kale
Kisima Cha Giningi
Funke Bugebuge
Rosa Mistika
Kuli

Pesa zako zinanuka by Ben R Mtobwa ni bonge la riwaya nilisoma miaka ya 80,ukisoma unaweza mumwaga mchozi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…