Tuwakumbuke wachezaji wanaochomekea jezi uwanjani

Tuwakumbuke wachezaji wanaochomekea jezi uwanjani

Ila walio wengi wanaochomekea, ukiwafuatilia maisha yao nje ya uwanja, ni watu fulani walio smart na kujipenda. Sio rahis kuchomeke kma sheria haikubani.

Ndo maana hata watoto wa shule, akimaliza tu vipindi akiwa anaondoka, anachomolea shati....!!!
 
M
Zamani sheria za mpira ziliwataka wachezaji wa mpira wa miguu wawapo uwanjani basi hawana budi kuwa wamechomekea jezi zao ndani ya bukta zao. Ika baadae FIFA wakaja wakaifuta sheria ile.

Bado kuna wachezaji wachache wamesalia na mtindo huo wa kuchomekea jezi muda wote wa mchezo. Hebu leo tuwakumbuke wanandinga hao.

Mimi naanza na hawa wafuatao:

1. Simon Francis wa Bournemouth
2. Scott Parker

Maxi Nzengeli
 
Zamani sheria za mpira ziliwataka wachezaji wa mpira wa miguu wawapo uwanjani basi hawana budi kuwa wamechomekea jezi zao ndani ya bukta zao. Ika baadae FIFA wakaja wakaifuta sheria ile.

Bado kuna wachezaji wachache wamesalia na mtindo huo wa kuchomekea jezi muda wote wa mchezo. Hebu leo tuwakumbuke wanandinga hao.

Mimi naanza na hawa wafuatao:

1. Simon Francis wa Bournemouth
2. Scott Parker

Maxi Mpia Nzengeli
 
Back
Top Bottom