DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Kwa Mara ya kwanza nilipofika hapa Dsm nilifikia kwa Uncle wangu ni Askari yeye na mke wake.
Nakumbuka nilikaa pale wiki tatu tu lakini niliziona Kama Mwaka mzima .
Asikuambie Mtu yule uncle wangu ndo alinifundisha kumjua Mungu na kunipeleka Shule Hadi kufika Chuo
Mungu Ampe Maisha marefu Sana huyu Uncle wangu ili siku moja ile ndoto yangu ya kununulia lambogini itimie.
Nakumbuka nilikaa pale wiki tatu tu lakini niliziona Kama Mwaka mzima .
Asikuambie Mtu yule uncle wangu ndo alinifundisha kumjua Mungu na kunipeleka Shule Hadi kufika Chuo
Mungu Ampe Maisha marefu Sana huyu Uncle wangu ili siku moja ile ndoto yangu ya kununulia lambogini itimie.