Tuwakumbuke wazazi wetu bila kujali walipo au sisi tulipo

Tuwakumbuke wazazi wetu bila kujali walipo au sisi tulipo

Kwa akili hii hata ungezaliwa ulaya hakuna kitu ungefanya,Afrika hii hii watu wanajenga,hii afrika watu wanamiliki ukwasi mkubwa.ulaya wengi ni wapangaji.
Africa hii hii wanasiasa wana waibia wananchi wenzao. Africa hii hii ukiwa mpinzani fursa zote za pesa unafungiwa. Africa hii hii mtu kama Ben Saanane anapotea na hakuna maelezo ya kueleweka. Bara la hovyo sana hili.
 
Wengine waliuza mifugo na mazao ili twende shule au kuhudumia sisi hivyo tunapofanikiwa tusikate mizizi yao.
A responsible parent will always be taken care of. Mzazi mzembe na mchoyo atakula alipopeleka mboga. Full stop.
 
Hivyo wazazi wetu tusiwatenge hawakujiandaa na tunachojidai sisi kuwa kila mtu na maisha yake.


Mjini tunakoishi tunavuja hela sanaa tunasahau wazazi vijijini wakiteseka


Elfu kumi kwa wazazi wetu wa kijijini ni kubwa mnoo.
Sina shida na responsible parents. Hawa ni watu wema sana.
 
Africa hii hii wanasiasa wana waibia wananchi wenzao. Africa hii hii ukiwa mpinzani fursa zote za pesa unafungiwa. Africa hii hii mtu kama Ben Saanane anapotea na hakuna maelezo ya kueleweka. Bara la hovyo sana hili.

Hata ulaya walipita hizi hatua,Rushwa unyinyaji walipitia ndio maana kulikua na mapunduzi ulaya,lakini unatakiwa kutafuta mpenyo sio kulaumu au kuchukia mzazi au nenda ulaya basi
 
Hata ulaya walipita hizi hatua,Rushwa unyinyaji walipitia ndio maana kulikua na mapunduzi ulaya,lakini unatakiwa kutafuta mpenyo sio kulaumu au kuchukia mzazi au nenda ulaya basi
Nitaenda Ulaya kuliko kujifariji eti nao walikuwa na viongozi maandazi kama wa Africa ila wakafanya mageuzi. Bara la hovyo sana hili.
 
Hizi dini zinawatisha sana watu. Yaani mzazi atelekeze watoto akiwa kijana, nao watoto wamtelekeze yeye akizeeka, alafu unaleta habari za kujuta siku mzazi akiondoka?
Sio dini maana upo kasi sana tangu ujue wazungu ..

Kama huamini dini si lazima ila wazazi wako waliokulewa tangu mdogo .

Kwa akili hizo ungezaliwa ulaya ungekuwa kichaaa.
 
Sio dini maana upo kasi sana tangu ujue wazungu ..

Kama huamini dini si lazima ila wazazi wako waliokulewa tangu mdogo .

Kwa akili hizo ungezaliwa ulaya ungekuwa kichaaa.
Mzazi aliyenilea tangu mdogo mimi sina shida naye kwa maana huyo ni shujaa kwangu. Lakini mzazi anayetelekeza mtoto huyo ndio adui yangu.
 
Back
Top Bottom